Cauz kama n vipimo vyote vimekaa vizur tu
Maji ya uchungu hayahitajiki.Daaah asante sana kwa ushauri wako lakin si lazima awekewe maji ya uchungu kwanza??
Habari,Wanajamii wenzangu poleni na majukumu ya maendeleo
Mke wangu ni mjamzito wa wiki 42 n sawa na miezi 10 na wiki 2 lakini hanatatizo la haina lolote kwa kipindi xhochote na nmecheki ultrasound takribani Mara mbili na ya mwisho n Tarehe 10 ya mwezi huu na kuna tatizo lolote kwa mtoto na njia iko safi kabisa na baada ya ultrasound tuliyofanya tarehe ya makadilio...