Kwa kweli niajabu sn kwa mwanasiasa mkongwe kama Magreth Sitta kufanya siasa za kinyesi kwa kiasi hiki yaani huyu mama badala ya kushawishi watu wa muunge mkono amekuwa anatumia nguvu nyingi kuwa kawanyanyasa watu wote wasio muunga mkono mfano mdogo hapa Urambo kuna saluni moja vijana wanaofanya kazi kwenye ile saluni wanajitambua hawamuungi mkono kbs yeye na chama chake kwa kutumia uwezo wake ameamuru saluni ile ifungwe yeye akiwa anaamini ndio njia sahihi ya kuwabadilisha vijana wale, naomba mnisaidie na kwingine hali ilivyo nikama huku kwetu?