Lulu ana matatizo na anahitaj msaada
Anajiropokesha tu, lulu akifa nani atamuweka mjini? Vitumbua vyenyewe kaacha kuuza kwa ajili ya lulu
Lulu nenda/rudi msalabani upate amani ya kweli, dunia imejaa taabu lakini kwa Bwana tunafarijika na kupata amani ya moyo!
Katapata buz tena aka? kifo si mchezo
Huyo mama ana frustrations? Huwezi mwombea mwanao kifo au anataka rambirambi apige
watu wanadhani wanaweza kupata amani ya moyo kwa kutumia pesa, mali walizonazo etc.....faraja ya kweli inatoka kwa Mungu inatoka kwa Yesu....alituahidi pale msalabani kwa kupigwa kwake sisi tumepona.....amtumainie Bwana ni kama mlima sayuni atatikisika milele......