umenifundisha jambo muhimu sanapole mama,na pole Lulu kwa kwenda jela wakati mashitaka yale hayakuwa na vielelezo tosha vya kiushahidi,hata ripoti ya mtaalam wa jamii walishindwa kuileta mahakamani;ila mama Kanumba tunaishi in a junky status country ,kwenye nchi zinazofuata wajibu wa kisheria ilibidi wakupe wewe taarifa kwanza na kupata maoni yako kabla ya msamaha huu wa ajabu,ni jaji gani aliyetoa msamaha?na umetolewa kwa vigezo gani?je mama wa marehemu alisikilizwa ili naye aridhie ili kuepusha migongano kama hii,tuendelee kusubiri.
TrueWatanzania asilimia kubwa wanafiki sana hapa wanamtukana mama kanumba ila wao hao hao wanaitukana na kuilaumu serikali kwa kumuachia muuaji wa akwilina. Kumbukeni kanumba nae alikua binadamu.
Kifo ni kifo tu kumfunga jela mtu sikanakwamba marehemu atafufuka
Aliachana na baba yake kanumba kwa kutegemea kanumba yupo sasa. Leo kanumba hayupo analia mbona baba yake kanumba sijawahi sikia akilala kama huyu mama inaonekana alitengeneza mazingira ya kuachana kwa kutegemea kanumba yupo ushauri mama mtafute baba kanumba mgange yajayo
Wampe taarifa ya nn??pole mama,na pole Lulu kwa kwenda jela wakati mashitaka yale hayakuwa na vielelezo tosha vya kiushahidi,hata ripoti ya mtaalam wa jamii walishindwa kuileta mahakamani;ila mama Kanumba tunaishi in a junky status country ,kwenye nchi zinazofuata wajibu wa kisheria ilibidi wakupe wewe taarifa kwanza na kupata maoni yako kabla ya msamaha huu wa ajabu,ni jaji gani aliyetoa msamaha?na umetolewa kwa vigezo gani?je mama wa marehemu alisikilizwa ili naye aridhie ili kuepusha migongano kama hii,tuendelee kusubiri.
Kalalamikia wapi mzee wawatuDuh mbona baba kanumba kalalamika sana tu mpaka akaamua kukaa kimya ,usilolijua ni sawa na usiku wa giza
Kalalamikia wapi mzee wawatu
UmenenaMama anasahau kuwa mwanae alikua anakula embe bichi na chumvi angekuwa mzima angekua na kesi ya kujibu anatakiwa ashukuru kwa yote sio kulalamika
Huyu mama atakuwa mchawi asije kumfanya mtoto wake afufuke, maana aliyoyatenda alipokuwa hai yanatosha kumfanya akae kimya, lakini huyu mama hajitambuiUmenena
Huyu mama atakuwa mchawi asije kumfanya mtoto wake afufuke, maana aliyoyatenda alipokuwa hai yanatosha kumfanya akae kimya, lakini huyu mama hajitambui
Huyu mama atakuwa mchawi asije kumfanya mtoto wake afufuke, maana aliyoyatenda alipokuwa hai yanatosha kumfanya akae kimya, lakini huyu mama hajitambui
Sijapata kuona mwanamke mwenye roho mbaya kama huyu mama... Nafahamu wako wengi ila yeye kaongezea na unafique