Wazazi ndivyo walivyo, zungumza naye taratibu atakusikiliza.ukimuuliza anasema umemtukana
ni kweli ila sio kwamba ndio nmeingia kichwa kichwa tatizo nataka kuenjoy moment(when there is peace in the jungle, you gotta enjoy the quiet )Usithubutu kumuamini. Watu wasanii kwenye kutaka kufanikisha mambo yao. Usimlie yamini mlevi anayesema anafanyia kazi ulevi wake kwa ajili yako.
We unabidi umuelewe tu mama ako. Sababu hasa hawezi kukuambia. Muelewe hivyo hivyo.
asante sana, nashukuru kwa kujalipole sana aisee
Kama ku enjoy wewe enjoy tu maisha yenyewe nsio haya hayani kweli ila sio kwamba ndio nmeingia kichwa kichwa tatizo nataka kuenjoy moment(when there is peace in the jungle, you gotta enjoy the quiet )
itakapoishia basi hamna neno tukishindwana ila hata hilo linashindikana kwa maneno ya bi mkubwa
sio kivile ndio jibu gani sasa? kwenye nyeusi weka nyeusi si habari ya kijivu,kama anakimbiza mwenge na kunjwa pombe msikilize mama.Na hivyo vitu sio kivile, pombe ameacha tangu nimwambie mi pia staki hivyo vitu akishindwa kuacha tutakua tu casual amenielewa anayafanyia kazi hayo
ukimuuliza anasema umemtukana
sawasio kivile ndio jibu gani sasa? kwenye nyeusi weka nyeusi si habari ya kijivu,kama anakimbiza mwenge na kunjwa pombe msikilize mama.
Ndo nilitakaa niseme mie amuulize huyo mama ake, yeye kuwa na baba ake alichaguliwa au kwa ridhaa yake, wala hakuna heshima kuvunjwa anapaswa kumuuliza.Pole sana Mkuu
Isingekuwa heshima zetu kwa Wazazi ungeweza kumuuliza Bi Mkubwa kama nayeye alichaguliwa kuwa na Mzee wako au walipendana wenyewe [emoji848]
Anyways, Wanasema Wazazi wamewahi kuona jua kabla yetu, jaribu kumsikiliza pengine kuna jambo ameona kwa huyo Boyfriend wako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo maana ake, tena anataka awaringishie wamama wenzie, eti anasema wamama wenzie wanamcheka lolPoleee kwahiyo mama anataka mkwe mwenye hela, mwenye hadhi na msomi oke oke
Asiefunzwa na mamaye hufunzwa na Ulimwengu, aliemtanguliza kukuonyesha jua anakwambia achana na hii takataka umeng'ang'ania wembe ukishakukata unarudi tena kwa mama unakua ushajikata na wembe, mwanakulitafuta mwanakulipata endelea na huyo Kiranga komo yakikukuta usiseme hukuambiwa-ana vuta bangi/pombe
Msikilize mama yako ukiumwa maututi yeye ndie atakaekua anakupikia uji nyumbani na kukuletea hospitalinu sio hilo kulumbembe kashalistukia liweke pembeni wamama wanaona mbali usimdharau mama yako ipo siku utajuta utasema mama aliniambia MimiSasa hapo nifanyaje wakuu?
Juu nimesema umsikilize Mama Ila nilipofika hapa naomba umshirikishe mtu mwingine Shangazi, Mama mdogo au Mkubwa km wapo emu jaribu kuwashirikisha Jambo lako na wao waone je kweli mama yupo sahihi au kuna Jambo nyuma ya pazia ukiona na wao wanasema achana na huyu mtu aseee usibakize mda, watu wana macho na macho ya watu wanaona, haya mfikishe nilipokueleza nenda kwa Shangazi mwambie Shangazi nimemleta mwenzangu km utani tu ampigishe story amfahamu kidogo km kumpigisha interview ndogo kumjua na kumdadisi akitoka mpeleke kwa Mama mdogo au Mkubwa nae ampige interview ndogo amjue amdadisi kidogo, alafu wao wawili watacompare convo zao je anakufaa ikisoma NO hakufai asee usilazimishe utakutana na balaa la dunia huko mbele watu wana macho na macho hua yanaona mbaliKinachoniumiza ni hakuna siku amewahi niuliza changamoto za maisha yangu ya mahusiano. nmejaribu kumwambia wachumba wakija wakijua sijasoma/sina kazi wanagairi haelewi.. anasema umerogwa wewe
nikiomba space nitulize kichwa sipewi naambiwa mpaka utanielewa...
Wote kwa pamoja hili suala inabidi mshirikishe na watu wengine ndugu na jamàa ili mpate muafaka kua kweli jamaa anakufaa ama hakufai wao wataona km anakufaa au anapretend kwa muda mbele atakugeuka watamshtukia mapema tu unajua mapenzi na moyo wa mtu ni kichakanmepata feeling mama angu ni Toxic /narcissistic mom ila nikieleza hisia zangu yeye ana cheka ndo ananiona kama mpuuzi..
maana mimi nmemwambia kwanini tusimwachie Mungu tu kama Mungu hajapanga tutaachana tu ila kwa ridhaa yetu mengine tutarekebishana sitaki uwe kama unanipangia maisha ila haelewi kabisa , niko njia panda maana maisha nayaona machungu kabisa ni mimi ndo tatizo au mama?
Ndo mama hatakiKama ku enjoy wewe enjoy tu maisha yenyewe nsio haya haya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo maana ake, tena anataka awaringishie wamama wenzie, eti anasema wamama wenzie wanamcheka lol
Itakuwa kumkosea heshima eti 🤔Ndo nilitakaa niseme mie amuulize huyo mama ake, yeye kuwa na baba ake alichaguliwa au kwa ridhaa yake, wala hakuna heshima kuvunjwa anapaswa kumuuliza.
Hapo sasa anashangazaa.Mama chenga sana
mimi nataka kwanza mahusiano wala sina haraka ya ndoa, ni mama tu anapeleka mambo mbeleMiezi mitatu michache sana...Kaa naye hata mwaka huweza utagundua dosari anazoeleza mama yako..
.halafu unataka kuolewa sababu nawe hujasoma na huna kazi? Hakuna kingine kinachowaunganisha zaidi ya hicho? Unamkubali sababu wapenzi wengine walikusumbua? Huna sababu nyingine? Nadhani mama ana point msikilize fanya uchunguzi.
Wapo wavuta bangi na wanywa pombe si malaya. Umalaya ni hulka, wala haichochewi na vitu tajwa.Hata mimi nisingekuozesha yaani mwanaume an a kunywa pombe, bangi ,sigara mie hapana wanakuaga malaya mno
Afu pia wewe umeishia olevel na yeye olevel watoto wenu nani atawafundisha? Tafta hata mkaka mwenye diploma mtoto enu apate rolemodel awe inspired kusoma kwa bidii
Usitangulize hisia mbelembele
Beba mimba. Mama atatulia.mimi nataka kwanza mahusiano wala sina haraka ya ndoa, ni mama tu anapeleka mambo mbele
pia kinachofanya nimpende, ni upendo yeye amenipenda nimerudisha upendo na hio ni sheria yangu tangu zamani... amenionyesha upendo kipindi ambacho nimeuhitaji sana
Habari za saa hii wana Jf
Naomba msaada wenu wa mawazo juu ya swala hili, kama kichwa cha habari kinavyojieleza;
kwa miezi mi3 hii nmekua na mahusiano ya kimapenzi na kijana karibu na maeneo ninayoishi,
-wote tumeishia 0- level kielimu
- mimi binti wa 28 yrs Mpenzi ana 38 aliwahi kuishi na mwanamke kwa miaka kadhaa zamani akaachana na mwanamke wake baada ya kuachishwa kazi ( kampuni ilifilisika)
- Kwasasa ana biashara zake
-anataka kunioa pale nikiridhia
sasa tatizo linaanza baada ya mama kuhisi uhusiano baina yetu, anasema kijana hafai kwanza
-ana vuta bangi/pombe
-Hajui kuvaa sio mtanashati
- aliwahi kuishi na mwanamke
-anatoka familia ya kawaida kama yetu kwahiyo hafai hatanisaidia chochote
- hana mvuto mbele za watu
-hana Cv nzuri hata nikimtambulisha
- anahisi kaniroga ndo mana nmekua nae kimahusiano
-kwanza anakaa maeneo ya karibu na nyumbani
-hana hadhi ya kuwa na mimi
sababu ni nyingi!!
Kwa kuliona hilo tukaamua basi ahame makazi tayari kashahama, mazingira yote tumeyafanya yawe mapya,kwa kila kitu cha hadhu anayoitaka mama,nmeshambadilisha huo muonekano kwa kiasi chake ili afanane na anavyotaka mama ila naona pamoja na kutaka aridhike ila kila siku anaanzisha sababu mpya ya kumkataa anasema anajitutumua tu ili anipate na pombe ameacha anipate akishanioa ntapata shida mana atarudi kwenye mambo yake yote!! Pia namdhalilisha kwa wamama wenzie kwa kuwa na mahusiano na jamaa
- mama anasema yuko tayari kwenda kwa mganga yoyote akavunje mahusiano mana kwanza jamaa atakua kaniroga sio kawaida.
Sasa hapo nifanyaje wakuu? maana naona nachanganyikiwa kila siku anaanzisha jambo jipya! ilihali nmemwambia mimi mwenyewe sijasoma! kazi sina wala bishara yoyote na kijana wa watu ameridhia ana fanya kila jukumu lake bila kinyongo ila mama anasema anafanya mana hana hadhi ya kuwa na ww ndo mana inabidi afanye tu...
Kinachoniumiza ni hakuna siku amewahi niuliza changamoto za maisha yangu ya mahusiano. nmejaribu kumwambia wachumba wakija wakijua sijasoma/sina kazi wanagairi haelewi.. anasema umerogwa wewe
nikiomba space nitulize kichwa sipewi naambiwa mpaka utanielewa...
nmepata feeling mama angu ni Toxic /narcissistic mom ila nikieleza hisia zangu yeye ana cheka ndo ananiona kama mpuuzi..
maana mimi nmemwambia kwanini tusimwachie Mungu tu kama Mungu hajapanga tutaachana tu ila kwa ridhaa yetu mengine tutarekebishana sitaki uwe kama unanipangia maisha ila haelewi kabisa , niko njia panda maana maisha nayaona machungu kabisa ni mimi ndo tatizo au mama? nishaurini wakubwa kabla sijashuka presha nikazimika mana bi mkubwa kasema kama ntakufa nife mana ndo ilivyopangwa.