Hatimaye wajumbe wa mkutano mkuu wa Jumuiya ya wanawake wamemchagua Dkt Gaudensia Kabaka kuwa mwenyekiti wa jumuiya hiyo ngazi ya Taifa kwa kipindi cha miaka 5.
Kwa nafasi yake atakuwa mjumbe wa kamati kuu, halmashauri kuu na mkutano mkuu wa CCM Taifa. Kwa mujibu wa kanuni za Jumuiya hii katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 Dkt Kabaka atakuwa mbunge wa viti maalum moja kwa moja.
Kwa nafasi yake atakuwa mjumbe wa kamati kuu, halmashauri kuu na mkutano mkuu wa CCM Taifa. Kwa mujibu wa kanuni za Jumuiya hii katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 Dkt Kabaka atakuwa mbunge wa viti maalum moja kwa moja.