Pre GE2025 Prof. Anna Tibaijuka asikilizwe kuhusu Mgombea Binafsi. CCM iache woga na udikteta

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Desprospero

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
1,012
2,480
Bandugu, msomi mwenye degree 15 Prof. Tibaijuka amekuja na hoja ya mgombea binafsi katika chaguzi zetu. Prof amejenga hoja kwamba kulazimisha watu kujiunga na vyama vya siasa ni udikteta wa kivyama na hasa CCM kama chama tawala.

Prof anatolea mfano wa magwiji wa demokrasia duniani, Marekani. Mfumo wa kulazimisha watu kujiunga na vyama unafanya kuwaacha watu makini na mahiri wenye uwezo mkubwa wa kiuongozi na matokeo yake tunaongozwa na baadhi ya watu wajinga sana alimradi walipitishwa na vyama vyao kihalali au kiharamu.

Ifike mahali tuone ukweli kwamba kila Mtanzania anao haki ya kupiga kura na kupigiwa kura bila kujali itikadi ya vyama. Hakuna sababu ya kumuona Prof. Anna Tibaijuka kama amemwaga upupu kwenye chama chase cha CCM. Kama taifa hebu tujadiliane hoja hii ya msanifu wa jiji la Dubai na muasisi wa UN-Abitat. Tunao viongozi wengi sana nje ya vyama vyetu. Tibaijuka asishambuliwe badala yake apingwe kwa hoja si vioja.

Hata mimi natamani na nina nia ya kuwa kiongozi wa nchi lakini sikubaliani na huu udikteta na ukiritimba wa vyama. Prof. Anna Tibaijuka nakuunga mkono.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Rais Samia, vijana tunataka tuwe viongozi, tunaomba sheria ya mgombea binafsi ili tupate nafasi kwenye vyama vya siasa, ni ngumu vijana kupenya
 
Bandugu, msomi mwenye degree 15 Prof. Tibaijuka amekuja na hoja ya mgombea binafsi katika chaguzi zetu. Prof amejenga hoja kwamba kulazimisha watu kujiunga na vyama vya siasa ni udikteta wa kivyama na hasa CCM kama chama tawala.

Prof anatolea mfano wa magwiji wa demokrasia duniani, Marekani. Mfumo wa kulazimisha watu kujiunga na vyama unafanya kuwaacha watu makini na mahiri wenye uwezo mkubwa wa kiuongozi na matokeo yake tunaongozwa na baadhi ya watu wajinga sana alimradi walipitishwa na vyama vyao kihalali au kiharamu.

Ifike mahali tuone ukweli kwamba kila Mtanzania anao haki ya kupiga kura na kupigiwa kura bila kujali itikadi ya vyama. Hakuna sababu ya kumuona Prof. Anna Tibaijuka kama amemwaga upupu kwenye chama chase cha CCM. Kama taifa hebu tujadiliane hoja hii ya msanifu wa jiji la Dubai na muasisi wa UN-Abitat. Tunao viongozi wengi sana nje ya vyama vyetu. Tibaijuka asishambuliwe badala yake apingwe kwa hoja si vioja.

Hata mimi natamani na nina nia ya kuwa kiongozi wa nchi lakini sikubaliani na huu udikteta na ukiritimba wa vyama. Prof. Anna Tibaijuka nakuunga mkono.
Marekan hakuna Democrasia. Ni watu ignorant tu ndo wanadhani na kuamini kuwa USA ina hii Democrasia ya kipuuzi iliyoletwa Africa
 
Bandugu, msomi mwenye degree 15 Prof. Tibaijuka amekuja na hoja ya mgombea binafsi katika chaguzi zetu. Prof amejenga hoja kwamba kulazimisha watu kujiunga na vyama vya siasa ni udikteta wa kivyama na hasa CCM kama chama tawala.

Prof anatolea mfano wa magwiji wa demokrasia duniani, Marekani. Mfumo wa kulazimisha watu kujiunga na vyama unafanya kuwaacha watu makini na mahiri wenye uwezo mkubwa wa kiuongozi na matokeo yake tunaongozwa na baadhi ya watu wajinga sana alimradi walipitishwa na vyama vyao kihalali au kiharamu.

Ifike mahali tuone ukweli kwamba kila Mtanzania anao haki ya kupiga kura na kupigiwa kura bila kujali itikadi ya vyama. Hakuna sababu ya kumuona Prof. Anna Tibaijuka kama amemwaga upupu kwenye chama chase cha CCM. Kama taifa hebu tujadiliane hoja hii ya msanifu wa jiji la Dubai na muasisi wa UN-Abitat. Tunao viongozi wengi sana nje ya vyama vyetu. Tibaijuka asishambuliwe badala yake apingwe kwa hoja si vioja.

Hata mimi natamani na nina nia ya kuwa kiongozi wa nchi lakini sikubaliani na huu udikteta na ukiritimba wa vyama. Prof. Anna Tibaijuka nakuunga mkono.
Suala hili CCM kamwe haitaki kabisa kuisikia.
Mwanaharakati Mchungaji Hayati Dkt. Christopher Mtikila alipambana mpaka tone lake la mwisho la uhai wake katika kupigania suala hili lakini imeshindikana, Ccm walimhujumu mtu huyo na hakuwahi kufanikiwa.
 
Tangu nchi ipate Rais mwanamke, chuki ya Anna Tibaijuka iko juu sana juu ya mwanamke mwenzake, hakika adui wa mwanamke ni mwanamke, Kasi yake ya kutoa matamko ni ya kiwango cha juu sana
 
Tibaijuka asishambuliwe badala yake apingwe kwa hoja si vioja.
Mimi nilikuwa mmoja wa hao ambao walimshambulia lakini si kwa vile hoja yake haina msingi, bali kuwa alijiunga na watesi wa demokrasia na akatumikia katika serikali iliyokuza udhalimu huo!
Short of that hoja yake ni ya nguvu/ina mashiko makubwa sana na lazima watu wenye akili tuipiganie hata kama kwenda "vita" ya wenyewe kwa wenyewe!
 
Tangu nchi ipate Rais mwanamke, chuki ya Anna Tibaijuka iko juu sana juu ya mwanamke mwenzake, hakika adui wa mwanamke ni mwanamke, Kasi yake ya kutoa matamko ni ya kiwango cha juu sana
Urais wa Tanzania siyo wingi wa Degree zako, Urais wa Tanzania unatabia ya kumuangumkia mtu umtaka kae, mfano kuna kipindi tuliaamini kabisa Mrema ndiyo atakua Rais, ghafla Urais ukamdondokea Mkapa, na kuna kipindi tulizani Lowasa atakua Rais ghafla Magufuli huyu hapa,mara hatujaa kaa sawa mara Mama huyu hapa na Urais wake! Mwambieni professor akae kwa kutulia!!
 
Bandugu, msomi mwenye degree 15 Prof. Tibaijuka amekuja na hoja ya mgombea binafsi katika chaguzi zetu. Prof amejenga hoja kwamba kulazimisha watu kujiunga na vyama vya siasa ni udikteta wa kivyama na hasa CCM kama chama tawala.

Prof anatolea mfano wa magwiji wa demokrasia duniani, Marekani. Mfumo wa kulazimisha watu kujiunga na vyama unafanya kuwaacha watu makini na mahiri wenye uwezo mkubwa wa kiuongozi na matokeo yake tunaongozwa na baadhi ya watu wajinga sana alimradi walipitishwa na vyama vyao kihalali au kiharamu.

Ifike mahali tuone ukweli kwamba kila Mtanzania anao haki ya kupiga kura na kupigiwa kura bila kujali itikadi ya vyama. Hakuna sababu ya kumuona Prof. Anna Tibaijuka kama amemwaga upupu kwenye chama chase cha CCM. Kama taifa hebu tujadiliane hoja hii ya msanifu wa jiji la Dubai na muasisi wa UN-Abitat. Tunao viongozi wengi sana nje ya vyama vyetu. Tibaijuka asishambuliwe badala yake apingwe kwa hoja si vioja.

Hata mimi natamani na nina nia ya kuwa kiongozi wa nchi lakini sikubaliani na huu udikteta na ukiritimba wa vyama. Prof. Anna Tibaijuka nakuunga mkono.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Rais Samia, vijana tunataka tuwe viongozi, tunaomba sheria ya mgombea binafsi ili tupate nafasi kwenye vyama vya siasa, ni ngumu vijana kupenya
Mimi nemeileta hii hoja ya .mgombea binafsi katika jukwaa hili mara kadhaa lakini sikuwahi kuungwa mkono na mwanajf .


Nashukuru sasa baada ya Prof. Tibaijuka naye kuisemea imeanza kuzungumzwa humu.

Niliwahi kusema kuwa CCM imewafanya watanganyika mateka na njia ya kwanza ya kuondoa umateka huu ni mbili:

1. Kupigania mgombea binafsi awesome katika chaguzi zote.

2. Kupigania serikaki ya Tangantyia iwepo..

CCCM hawayataki hayo mawili kwa sababu ni tishio kwo survival yao.

Watanganyika tuamke kwa nguvu kushinda ile ya kushabikia yanga na simbq tudai hivyo vitu viwili na nina hakika tutavipata.
 
Urais wa Tanzania siyo wingi wa Degree zako, Urais wa Tanzania unatabia ya kumuangumkia mtu umtaka kae, mfano kuna kipindi tuliaamini kabisa Mrema ndiyo atakua Rais, ghafla Urais ukamdondokea Mkapa, na kuna kipindi tulizani Lowasa atakua Rais ghafla Magufuli huyu hapa,mara hatujaa kaa sawa mara Mama huyu hapa na Urais wake! Mwambieni professor akae kwa kutulia!!
Kabisa, akae kwa kutulia, aache chuki
 
Secretary anamshangaa Professor.
Next week ninasikia Kuna chuo kinataka kumpatia Uprofesssor, hataki Tena kuitwa Dr.
 
Tangu nchi ipate Rais mwanamke, chuki ya Anna Tibaijuka iko juu sana juu ya mwanamke mwenzake, hakika adui wa mwanamke ni mwanamke, Kasi yake ya kutoa matamko ni ya kiwango cha juu sana
Hoja hiyo ikipita, utashangaa anakuwa wa kwanza kuchangamkia fursa!
 
Back
Top Bottom