GemMaster II
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 3,405
- 10,600
Nchi imeoza hii hakuna cha TISS, JWTZ hawa nao hamna kitu ni vile walijificha kwenye kulinda mipaka na hawachangamani na siasa ila hamna kitu nao walewale, Police hawa ndio hopeless kabisaaa kila mtu anawajua hakuna haja ya kuwaelezea.
Kila sehemu kumeoza sio michezo, afya, elimu, mahakama, uchumi tunajiendea tu, watu wenye uwezo mdogo kichwani ndio viongozi.
Mtu akinambia elimu ya zamani ndio yenyewe tofauti na hii ya gen Z binafsi kama nina bunduki namshuti.
D9 ifike tu kwakweli.
Kila sehemu kumeoza sio michezo, afya, elimu, mahakama, uchumi tunajiendea tu, watu wenye uwezo mdogo kichwani ndio viongozi.
Mtu akinambia elimu ya zamani ndio yenyewe tofauti na hii ya gen Z binafsi kama nina bunduki namshuti.
D9 ifike tu kwakweli.