Mama Amina msanii chipukizi amepotelea wapi?

Sifi Leo

Platinum Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
6,267
Reaction score
11,680
Nauliza tu msaniii mama Amina aliyeibuka kwa Kasi ya 4g, kwenye UTAWALA wa serikali hii yupo wapi?;

Je, kapotea kama liquid piere wa UTAWALA wa awamu ya jiwe?
 
Maisha ni mlima, kuna kupanda na kushuka, jua kuteleza sio kuanguka.
 
Nauliza tu msaniii mama Amina aliyeibuka kwa Kasi ya 4g, kwenye UTAWALA wa serikali hii yupo wapi?;

Je, kapotea kama liquid piere wa UTAWALA wa awamu ya jiwe?
Nimekaona juzi kamevaa dela haaaaaaaah Noma sana
 
Wanaibuliwa kupeperusha upepo, ukipita basi wanatulizwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…