Maliza basi nimechoka!

Bangoo

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2011
Posts
5,597
Reaction score
1,016
Huu ni msemo wa baadhi ya wanawake wanapokuwa faragha, mpenzi wangu mara nyingi nikienda dk 5 na zaidi huniambia hivyo, je ni kuridhika au ni kukereka... Nikimuuliza wewe tayari anasema ndiyo....! Je anadanganya?
 
heee!!!mmmm!!hapo kuna ulakini hata anapomaliza hujui!watu huwa tunajua hata zinapokuwa njiani zinakuja,na muda huo wa dk 5mbona ni mfupi sana! kwa maoni yangu atakuwa ana keleka.
 
He he he, ujue uefa champions league kuwapa kombe la mbuzi ni kujichosha tu?! Wanakuchukulia kama kitu kwa ajili ya museum yao tu.
 
Huu ni msemo wa baadhi ya wanawake wanapokuwa faragha, mpenzi wangu mara nyingi nikienda dk 5 na zaidi huniambia hivyo, je ni kuridhika au ni kukereka... Nikimuuliza wewe tayari anasema ndiyo....! Je anadanganya?
tumia muda kutambuana kabla ya kupanda hilo tundu utadhani bodaboda ya kusukuma

jifunze kutumia dk tatu bomba zake, mpumzishe uongeze tena na wewe utatosheka

jiangalie style unayotumia labda unambana pumzi tu

pia angalia usafi, ukiwa unanuka mdomo unamkata stimu maana unaweza kuta unampumulia mtu usoni

maandalizi ni zaidi ya kidole kwenye kisimi.... ni kila kitu

pia mjue kuna wengine nyege mshindo, kutia kichwa tu bao.... jifunze kumruhusu apumzike halafu la pili ndio utafute lako
 
heee!!!mmmm!!hapo kuna ulakini hata anapomaliza hujui!watu huwa tunajua hata zinapokuwa njiani zinakuja,na muda huo wa dk 5mbona ni mfupi sana! kwa maoni yangu atakuwa ana keleka.

hata dk moja anaweza kukojoa, ila kama hajui then hiyo ni balaa
 
Huu ni msemo wa baadhi ya wanawake wanapokuwa faragha, mpenzi wangu mara nyingi nikienda dk 5 na zaidi huniambia hivyo, je ni kuridhika au ni kukereka... Nikimuuliza wewe tayari anasema ndiyo....! Je anadanganya?

Ukiona hi yo ujue hakufeel unamkera sema hawezi tu kukukatalia moja kwa moja.
 
Subir waje wanakula sasahivi
 
Akiniambia hivyo mimi itkuwa ndio bath tena nahama njia.
 
Muulize mbona wakati wa mitihani wanaomba waongezewe muda??

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
Nikiambiwaga hivyo huwa natoa mpira nje na natoa wachezaj nje wapige joging na kunyoosha viungo ili pambano lianze upya kwa staili nyingine......maana huwa ni kauli ya dharau kuwa nakereka....
 
Nikiambiwaga hivyo huwa natoa mpira nje na natoa wachezaj nje wapige joging na kunyoosha viungo ili pambano lianze upya kwa staili nyingine......maana huwa ni kauli ya dharau kuwa nakereka....

Sio kuwa unasusa kabisa..
 
hebu thibitisha ww bi dada ni kweli unakuwa umkereka.......... Halafu hyo ID yako inanikumbusha mbali sana


Sometimes bana mnakera hakuna cha kubembeleza, mahaba sifuri si unajua tena sie na mood swings et al,
Mtu yuko resi utadhani mashindano fulani hivi basi unamuachia tuuu ili ajione mshindi ....maliza haraka nilale basi. :juggle:

ID yangu imekukumbusha wepi tena Mgirik.... Nihadithie kiduchu
 

Umeona eeh.... unafanya tu bora liende na vilio vya uongo uongo..basi he anaona kapatiiiiiaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…