Malisa Godlisten kuhusu Nape umepotoka

Decree Holder

JF-Expert Member
Jul 19, 2015
2,559
3,745
Wanajamvi salaam.

Nimesoma uzi ufuatao hapa chini

Malisa Godlisten: Nape akae kimya, hana locus ya kuilaumu CCM wakati bado yupo humo

Ambapo kuna waraka ndani yake unaodaiwa kuandikwa na Malisa Godlisten. Sina hakika kama ni yeye hasa ameandika ila kuna circumstantial evidence zinaonesha kweli ameandika yeye. Uzi huu upo hapa jamiiforumz na muanzishaji amemu acknowledge malisa na kwa kuwa umeachwa na mods na hapa si mahali pa uzushi basi nashawishika kuamini kuwa kilichopo kwenye uzi ni cha kweli.

Kwanza nimesikitishwa na kitendo cha Malisa kutoa uzi uliokosa viwango wala hoja kama huu. Ninampinga Malisa Godlisten katika hoja zake zote kwenye uzi tajwa hapo juu kama ifuatavyo.

1. Malisa anasema Nape hana locus ya kuikosoa CCM na Serikali ya CCM kwa sababu yupo CCM na alikuwa serikalini muda mrefu na Malisa anauliza why now?. Hoja hii ya Malisa inakufa natura death, nadhani Malisa hajui maana ya neno "locus" mtu kuwa na locus ni kuwa tu na interest juu ya jambo husika, ina maana Malisa hajui kuwa Nape ana interest na CCM pamoja na Serikali?. Malisa una maanisha kuwa Raia wa nchi hii ambaye alishika uongozi serikalini anapoteza haki ya kuhoji na kuizungumzia serikali yake zaidi haki ambayo ni ya kikatiba ya uhuru wa maoni?.

Vipi Malisa anasemaje juu ya Watu kama Lowasa, Sumaye, na Mahanga ambao walikuwa serikalini na sasa ni wapinzani nao hawana haki ya kuhoji kuhusu serikali?

Je sababu ni Nape kubaki CCM hivyo haki yake ya kuhoji inapotea? Je ni kwanini tuna walaumu wabunge wa CCM wanaounga mkono kila hoja ya CCM kama mtu akiwa CCM hatakiwi kuhoji basi tuwapongeze hawa watu?

2. Malisa Godlisten alikosoa CHADEMA na uongozi baada ya kumpitisha Lau Masha na Wenje ubunge EALA je kwanini asingesubiri atoke kwanza CHADEMA ndiyo ahoji?

3. Kwa andiko hili inathibitisha ni jinsi gani Malisa asivyoheshimu uhuru wa maoni wa watu wengine na hii ni ajabu kwa mtu anayejinasibisha kuwa yupo kwenye chama cha kizazi cha kuhoji kuwa na mawazo potofu kama haya. Kwanini asimpongeze Nape kwa kuhoji serikali na CCM kama ambavyo Bashe anapongezwa kwa kufanya hivyo? Malisa ni dikteta asiyetaka watu wawe na mawazo yao hii ndiyo sababu haishi kublock watu wanaompinga kwenye akaunti yake ya Facebook. Kama kweli ni mtu anayejali mawazo ya wengine anapaswa kuwafungulia wote aliowablock kwenye akaunti yake ya Facebook na amuombe radhi Nape kwa andiko hili lisilo na hoja maridhawnatural
 
Wanajamvi salaam.

Nimesoma uzi ufuatao hapa chini

Malisa Godlisten: Nape akae kimya, hana locus ya kuilaumu CCM wakati bado yupo humo

Ambapo kuna waraka ndani yake unaodaiwa kuandikwa na Malisa Godlisten. Sina hakika kama ni yeye hasa ameandika ila kuna circumstantial evidence zinaonesha kweli ameandika yeye. Uzi huu upo hapa jamiiforumz na muanzishaji amemu acknowledge malisa na kwa kuwa umeachwa na mods na hapa si mahali pa umbeya basi nashawishika kuamini kuwa kilichopo kwenye uzi ni cha kweli.

Kwanza nimesikitishwa na kitendo cha Malisa kutoa uzi uliokosa viwango wala hoja kama huu. Ninampinga Malisa Godlisten katika hoja zake zote kwenye uzi tajwa hapo juu kama ifuatavyo.

1. Malisa anasema Nape hana locust ya kuikosoa CCM na Serikali ya CCM kwa sababu yupo CCM na alikuwa serikalini muda mrefu na Malisa anauliza why now?. Hoja hii ya Malisa inakufa natura death, nadhani Malisa hajui maana ya neno "locust" mtu kuwa na locust ni kuwa tu na interest juu ya jambo husika, ina maana Malisa hajui kuwa Nape ana interest na CCM pamoja na Serikali?. Malisa una maanisha kuwa Raia wa nchi hii ambaye alishika uongozi serikalini anapoteza haki ya kuhoji na kuizungumzia serikali yake zaidi haki ambayo ni ya kikatiba ya uhuru wa maoni?.

Vipi Malisa anasemaje juu ya Watu kama Lowasa, Sumaye, na Mahanga ambao walikuwa serikalini na sasa ni wapinzani nao hawana haki ya kuhoji kuhusu serikali?

Je sababu ni Nape kubaki CCM hivyo haki yake ya kuhoji inapotea? Je ni kwanini tuna walaumu wabunge wa CCM wanaounga mkono kila hoja ya CCM kama mtu akiwa CCM hatakiwi kuhoji basi tuwapongeze hawa watu?

2. Malisa Godlisten alikosoa CHADEMA na uongozi baada ya kumpitisha Lau Masha na Wenje ubunge EALA je kwanini asingesubiri atoke kwanza CHADEMA ndiyo ahoji?

3. Kwa andiko hili inathibitisha ni jinsi gani Malisa asivyoheshimu uhuru wa maoni wa watu wengine na hii ni ajabu kwa mtu anayejinasibisha kuwa yupo kwenye chama cha kizazi cha kuhoji kuwa na mawazo potofu kama haya. Kwanini asimpongeze Nape kwa kuhoji serikali na CCM kama ambavyo Bashe anapongezwa kwa kufanya hivyo? Malisa ni dikteta asiyetaka watu wawe na mawazo yao hii ndiyo sababu haishi kublock watu wanaompinga kwenye akaunti yake ya Facebook. Kama kweli ni mtu anayejali mawazo ya wengine anapaswa kuwafungulia wote aliowablock kwenye akaunti yake ya Facebook na amuombe radhi Nape kwa andiko hili lisilo na hoja maridhawa.
Locust, ngoja waje!
Locus Standi
Law and Legal Definition. ... Locus standi is the ability of a party to demonstrate to the court sufficient connection to and harm from the law or action challenged to support that party's participation in the case.
 
Nape si wakwanza kufukuzwa uwaziri, au kuondolewa kwa lugha nyingine, mbona kelele nyingi sana, huyu huyu Nape alikuwa hodari ndani kwa vijembe, amekuwa mbunge na Waziri ni mda mrefu miaka miwili si haba, hakuiona kero hii? Nape bado anao uwanja wa kuwatetea wananchi ndani ya bunge kama mbunge kudai kuondolewa kwa kero hiyo, sasa huko Twitter kunani? Ni lini mtu akatetea maendeleo ya jimbo lake ikawa nongwa? Malisa yupo sahihi kama anaona ccm si chama kinachoweza leta maendeleo kwa wananchi atoke, badala ya kulalama kwenye mitandao wakati ana nafasi ya kuwatetea wananchi bungeni! Binafsi namwona kama mnafiki asiye hoja, anaumizwa kuukosa uwaziri kuliko wananchi.
 
Angalia vizuri kiingereza chako,kama ulibashite kwenye hiyo.lugha tumia kiswahili tafadhali.natura death.locust au locus
 
Ishu si kukosoa ila dhamira ya ukosoaji..kumbuka hilo jimbo nape alishalitosa alipokuwa waziri na alijua atapita tu tena kwa bao la mkono kama alivyofanya last time. Kuthibitisha aliwatosa ni siku rais alipofanya ziara kwenye jimbo lake..rais alikutana na baadhi ya kero ikiwemo wananchi kukosa zahanati..rais aliahidi kutoa kiasi cha pesa, mkuu wa mkoa akabanwa akaahidi na mkurugenzi pia.. Nape aligoma kuahidi..alipobanwa na rais ndipo akaahidi mill 10..wenzake baada ya muda waliwasilisha..yeye akapotea kabisa..baada ya kutoswa uwaziri ndio akaona umuhimu wa jimbo..hiyo pesa kaitoa juzi tu alivyoenda kutafuta sympathy ya watu wa mtama..
Eti leo ndio anaona wananchi wana shida na kuituhumu serikali..wakati kuwasaidia pesa ya jimbo ambayo ni haki yao aligoma hadi magu alipomkomalia.
Huyu na serikali ya magu nani ana uchungu na wananchi??
 
Ishu si kukosoa ila dhamira ya ukosoaji..kumbuka hilo jimbo nape alishalitosa alipokuwa waziri na alijua atapita tu tena kwa bao la mkono kama alivyofanya last time. Kuthibitisha aliwatosa ni siku rais alipofanya ziara kwenye jimbo lake..rais alikutana na baadhi ya kero ikiwemo wananchi kukosa zahanati..rais aliahidi kutoa kiasi cha pesa, mkuu wa mkoa akabanwa akaahidi na mkurugenzi pia.. Nape aligoma kuahidi..alipobanwa na rais ndipo akaahidi mill 10..wenzake baada ya muda waliwasilisha..yeye akapotea kabisa..baada ya kutoswa uwaziri ndio akaona umuhimu wa jimbo..hiyo pesa kaitoa juzi tu alivyoenda kutafuta sympathy ya watu wa mtama..
Eti leo ndio anaona wananchi wana shida na kuituhumu serikali..wakati kuwasaidia pesa ya jimbo ambayo ni haki yao aligoma hadi magu alipomkomalia.
Dhamira za kina Lowasa na Sumaye na ile ya Nape unazipima kwa kipimo kipi?
 
Dhamira za kina Lowasa na Sumaye na ile ya Nape unazipima kwa kipimo kipi?
Hao wote hakuna mwenye dhamira ya nchi na wananchi bali wao na familia zao..take it from me..kama ni mtathmini na mfuatiliaji mzuri wa wanasiasa hilo kundi ulilolitaja wala hukuwa na haja ya kuniuliza.
 
In general, Malisa is right. Nape has little credibility, japo anachokisimamia sasahivi kina ukweli kiasi fulani. Nape anataka kutuaminisha kuwa yeye ni mwadilifu wakati huo uonevu anaoupinga sasahivi ndio huohuo aliufumbia macho muda mrefu akiwa Katibu Mwenezi na Waziri, wakati wengine wakionewa. I give him credit, though, for admitting openly that the country is not headed in the right direction on certain issues. Better late that never.
 
Hivi wewe mleta mada, kwa akili hii ya kushikiwa, kwanini Godlisten asiku-block kule facebook.
 
Back
Top Bottom