Malipo ya Sensa utata Ilala

Malipo ya Sensa utata Ilala

maoniyangu

Member
Joined
Jul 9, 2011
Posts
53
Reaction score
4
makarani wa sensa wilaya ya ilala kituo cha zawadi secondary wamegoma kula kiapo cha kufanya kazi ya sensa mpaka watakapopewa malipo ya semina ambayo hawajamaliziwa. Hakuna kinachoendelea hapa, ilibidi watu wapewe vifaa leo ila hata vifaa havijaonekana. Sidhani kama kuna sensa hapa, serikali inachezea hili zoezi.
 
kila la kheri mnaohesabiwa, wenzenu karatu wameahidiwa pundamilia, nyie ombeni kuku
 
bora wagome kwani hata hao wa kuhesabiwa nao wameshagoma. Hatuhesabiwi mtu. Sensa imeshafeli mpaka sekunde hii,hata media zisiporeport wala haisaidii chochote. Serikali inahangaika na masheikh ili wakubari ivi leo wameitwa ikulu mara ya pili baada ya kikao cha wiki iliyopita. Hoja za waislam ni hoja za kimataifa. Hazipingiki. No sensa mpaka vipengere husika viwekwe.
 
Nyumba niliyopanga,hakuna rangi wataacha kuona hao wahesabuji,tutafunga mageti na kila swali jibu litakuwa mimi sio msemaji wa familia...:sleepy:
 
sasa kwa nini wasifanye kazi kwa kujitoleaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa mpaka walipweeeeee
 
Back
Top Bottom