ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,265
- 4,452
Habari za leo;
Baada ya nenda uje na vuta nikuvute nyingi hatimaye nimefanikiwa rasmi kufungua madai ya fao la kujitoa pale NSSF ILALA.
Kilichonifanya nilete uzi huu hapa ni namna na jinsi nilivyopata usumbufu mwingi wa nenda uje hali ambayo imenifanya niulize wadau ili nijiandae kisaikolojia kuhusiana na tarehe ambayo nitapata malipo hayo.
Kwa mujibu wa muhudumu ambaye amenifungulia madai amenipa reference namba na kuniambia kuwa nirudi baada ya 90 days.Kwanza nimeshtuka nikasema kwa nini ila hakunipa jibu zaidi ya kuita anayefuata kwenye foleni
Sasa wadau kwa wale ambao waliwahi fikia hatua ya kufungua madai Je walifanikiwa kulipwa hasa ndani ya hizo siku tisini?na je kama ilichelewa sababu ilikuwa ni nini?Na je wanakujulisha malipo yako yanapokuwa tayari?
Nitashukuru kwa majibu mazuri
Mdau wangu
Baada ya nenda uje na vuta nikuvute nyingi hatimaye nimefanikiwa rasmi kufungua madai ya fao la kujitoa pale NSSF ILALA.
Kilichonifanya nilete uzi huu hapa ni namna na jinsi nilivyopata usumbufu mwingi wa nenda uje hali ambayo imenifanya niulize wadau ili nijiandae kisaikolojia kuhusiana na tarehe ambayo nitapata malipo hayo.
Kwa mujibu wa muhudumu ambaye amenifungulia madai amenipa reference namba na kuniambia kuwa nirudi baada ya 90 days.Kwanza nimeshtuka nikasema kwa nini ila hakunipa jibu zaidi ya kuita anayefuata kwenye foleni
Sasa wadau kwa wale ambao waliwahi fikia hatua ya kufungua madai Je walifanikiwa kulipwa hasa ndani ya hizo siku tisini?na je kama ilichelewa sababu ilikuwa ni nini?Na je wanakujulisha malipo yako yanapokuwa tayari?
Nitashukuru kwa majibu mazuri
Mdau wangu