Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,772
- 218,394
Ataenda kuroga kule alikopewa urozi TuliaHakuna asiyefahamu kwamba 2015 ccm ilikataliwa Jijini Dar es Salaam , madiwani wengi na wabunge wengi wa Upinzani walichaguliwa na wananchi , Meya wa Manispaa ya Kinondoni akatokana na wapinzani , Meya wa Ilala vivyo hivyo ikiwa ni pamoja na Meya wa Jiji .
Mengi yalitokea ikiwa ni pamoja na ccm kuleta madiwani mamluki kutoka Mchambawima na Kisiwandui ili kuja kuongeza idadi ya wapiga kura za kuchagua Meya wa jiji , hata hivyo wakaangukia pua , ili maneno yasiwe mengi ngoja nijikite Kinondoni , baada ya CCM kushindwa Kinondoni ikaamua kupanga njama za kuigawa Manispaa hiyo kwenye makundi mawili , huu mpango ulikuwepo ila uliharakishwa kwa makusudi maalum ili kuibeba CCM, pamoja na kuigawanya Kinondoni lakini bado kura za CCM zikawa hazitoshi pande zote mbili , ndipo ukafanyika umafia wa kuwahamisha kibabe madiwani wa Upinzani waliokuwa na haki ya kubaki kinondoni na kuwapeleka Ubungo , wakaletwa na mamluki wa kuteuliwa ili kuiongezea nguvu CCM na Hatimaye Benjamin Sitta akawa Meya kwa njia ya dhuluma iliyoacha manung'uniko makubwa sana .
Labda kwa ajili ya kuweka kumbukumbu vizuri ni kwamba ccm ililazimisha umeya wa Kinondoni ili kuongeza wigo wa wizi na upigaji , ushahidi ni hili la Kinondoni la kujenga Coco Beach kwa Bil 14 , huu ni wizi wa mchana , sasa hili ni moja vipi kuhusu miradi mingine ?
Benjamin Sitta ulipewa Umeya kimafia kwa huruma ya baba yako , hukuwa na uwezo wowote na wala hukuwahi kuwa na uwezo kokote ulikopita , Sasa wamekutumia na wanajiandaa kukung'oa ili kuua soo .
Kila lenye mwanzo halikosi mwisho .
Una habari kuwa Lord Mayor wa Dar nae anang'oka?Kila lenye mwanzo halikosi mwisho .
Hilo wala sina shaka nalo , tulitimiza mpango wa Mungu wa kuing'oa ccm 2015 , kwetu hilo ni jambo kubwa sanaUna habari kuwa Lord Mayor wa Dar nae anang'oka?
Hakuna mwanaccm atakayeuona ufalme wa MunguAtaenda kuroga kule alikopewa urozi TuliaView attachment 1214138
Mlichotimiza ni kumng'oa Lowassa ccmHilo wala sina shaka nalo , tulitimiza mpango wa Mungu wa kuing'oa ccm 2015 , kwetu hilo ni jambo kubwa sana
Endelea kuamini unachoaminiMlichotimiza ni kumng'oa Lowassa ccm
siyo kijanja , ni kibwegeKwa Africa siasa Ni eneo la kuwaibia wananchi kijanja...
Wamepangana kwiba tu. Mpaka inatia aibu. Kila chenye mwanzo hakikosi kuwa na mwisho. Ujanja ujanja na wizi tuHakuna asiyefahamu kwamba 2015 ccm ilikataliwa Jijini Dar es Salaam , madiwani wengi na wabunge wengi wa Upinzani walichaguliwa na wananchi , Meya wa Manispaa ya Kinondoni akatokana na wapinzani , Meya wa Ilala vivyo hivyo ikiwa ni pamoja na Meya wa Jiji .
Mengi yalitokea ikiwa ni pamoja na ccm kuleta madiwani mamluki kutoka Mchambawima na Kisiwandui ili kuja kuongeza idadi ya wapiga kura za kuchagua Meya wa jiji , hata hivyo wakaangukia pua , ili maneno yasiwe mengi ngoja nijikite Kinondoni , baada ya CCM kushindwa Kinondoni ikaamua kupanga njama za kuigawa Manispaa hiyo kwenye makundi mawili , huu mpango ulikuwepo ila uliharakishwa kwa makusudi maalum ili kuibeba CCM, pamoja na kuigawanya Kinondoni lakini bado kura za CCM zikawa hazitoshi pande zote mbili , ndipo ukafanyika umafia wa kuwahamisha kibabe madiwani wa Upinzani waliokuwa na haki ya kubaki kinondoni na kuwapeleka Ubungo , wakaletwa na mamluki wa kuteuliwa ili kuiongezea nguvu CCM na Hatimaye Benjamin Sitta akawa Meya kwa njia ya dhuluma iliyoacha manung'uniko makubwa sana .
Labda kwa ajili ya kuweka kumbukumbu vizuri ni kwamba ccm ililazimisha umeya wa Kinondoni ili kuongeza wigo wa wizi na upigaji , ushahidi ni hili la Kinondoni la kujenga Coco Beach kwa Bil 14 , huu ni wizi wa mchana , sasa hili ni moja vipi kuhusu miradi mingine ?
Benjamin Sitta ulipewa Umeya kimafia kwa huruma ya baba yako , hukuwa na uwezo wowote na wala hukuwahi kuwa na uwezo kokote ulikopita , Sasa wamekutumia na wanajiandaa kukung'oa ili kuua soo .
Kila lenye mwanzo halikosi mwisho .
Hakuna mwanaccm atakayeuona ufalme wa Mungu
Eti huyo ndiyo naibu spika wa bunge la muungano wa Tanzania, yaani ni aibu kubwa sanaAtaenda kuroga kule alikopewa urozi TuliaView attachment 1214138
na msomi wa kiwango cha PhD .Eti huyo ndiyo naibu spika wa bunge la muungano wa Tanzania, yaani ni aibu kubwa sana
Walinnzi wake hawakuingilia Kati?Juzi kuna msela kwenye fainali mojawapo kwenye moja ya kiwanja kuna mhuni alimtolea unamba huyo sitta nusu wazichape..matusi,kejeli na panga ilitolewa
Mh pressure juu ilikuwa
Eti huyo ndiyo naibu spika wa bunge la muungano wa Tanzania, yaani ni aibu kubwa sana
uchaguzi mkuu wa 2015 ccm ilipata kura 54000 tu dar nzima na magufuli hajashinda ule uchaguziHilo wala sina shaka nalo , tulitimiza mpango wa Mungu wa kuing'oa ccm 2015 , kwetu hilo ni jambo kubwa sana
Kapilimba , January , Jk na Kinana wanajuauchaguzi mkuu wa 2015 ccm ilipata kura 54000 tu dar nzima na magufuli hajashinda ule uchaguzi