Mr Ezek
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 298
- 105
Kuna vitu vinashangaza sana kwenye hii nchi iliyoasisiwa na Hayati Nyerere, tunasema Kuna amani na upendo miongoni mwenu Lakin kiuhalisia Kuna watu ni wenye manung'uniko na maumivu makubwa moyoni.
Madaraka yamewafanya wenye madaraka kujiona miungu watu. wakazi wa mtaa wa Kidimu uliopo kata ya Pangani waathiriwa wa barabara ni wenye manung'uniko na maumivu moyoni.
Wenye mamlaka mnataka kufanya nini na pesa za waathirika? watu mmewafanyia utathmini lakini kuwalipa imekuwa ni vitisho kuwa hamuwalipi.
Pesa zao mnapeleka wapi wenye mamlaka? Mamlaka ya juu tunaomba iangalie jambo hili ili kudhibiti upigaji kwenye huu mradi wa Barabara.
NAIPENDA TANZANIA, NAIPENDA AFRIKA.
Madaraka yamewafanya wenye madaraka kujiona miungu watu. wakazi wa mtaa wa Kidimu uliopo kata ya Pangani waathiriwa wa barabara ni wenye manung'uniko na maumivu moyoni.
Wenye mamlaka mnataka kufanya nini na pesa za waathirika? watu mmewafanyia utathmini lakini kuwalipa imekuwa ni vitisho kuwa hamuwalipi.
Pesa zao mnapeleka wapi wenye mamlaka? Mamlaka ya juu tunaomba iangalie jambo hili ili kudhibiti upigaji kwenye huu mradi wa Barabara.
NAIPENDA TANZANIA, NAIPENDA AFRIKA.