Malipo hapa duniani Moto mkubwa Israel

Malipo hapa duniani Moto mkubwa Israel

⭕️ Mioto mikubwa katika Yerusalemu inaambatana na dhoruba kali ya upepo.

Idhaa ya 14 ya Israel inasema kuwa moto huo ulizuka kwa kitendo cha uchokozi, na sio cha ghafla.

Idhaa ya 13 ya Israel inathibitisha kwamba uvamizi huo ulikamata "washukiwa" 3 kutokana na moto katika mji wa Jerusalem unaokaliwa kwa mabavu. Kikosi cha kuzima moto cha Israeli kinafichua kuwa moto huo ulikula dunam 10,000 za Milima ya Jerusalem.


View: https://x.com/me_observer_/status/1917584443650498741?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Umekaataa na kusema Uchaguzi sio huru sawa ujalazimishwa kushiliki waachie wenye kuona upo Huru waendelee na mambo yao!!!!!

lkn tena unatunisha kifua kuwa akutofanyika Uchaguzi adi uwe vile wewe unataka !!!!

Serikali ulitaka ikusaidieje zaidi ya kukutuliza ndani Keko usiwabuguzi wengine wenye nia ya kushiliki Uchaguzi pamoja na mapungufu yake!!!!

Chedema kipo pekee kinakataa Uchaguzi!!!!

Vyama venye nia ya kushiliki Uchaguzi vipo 12+

Haki ipo wapi?????
 
IRAN iliwai sema ina aina 4 za silaha duniani bado ata kuzifikilia kama zipo !!!

au zinawezekana kuwepo sasa napata ishala ule MOTO kule Marekani na huu wasasa apo ISRAEL itakuwa kazi ya IRAN.. Moto Unashambulia nyumba.
 
Baadhi yetu Watanzania linapokuja suala la dini tunakaa mbali sana na akili zetu za kupambanua mambo,hapa nyumbani kuna mwaka Kilimanjaro hapo paliwaka moto kweli kweli ni kusema na sisi tuliwaua Israel?
Watu wanajifanya ni wasemaji wa Mbinguni.
Watuambie na maafa ya Hanang yalitokea kwa sababu Tanzania tulifanyaje.!.
 
Back
Top Bottom