Blandes
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 401
- 228
Rais wangu wa tff pole na majukumu ya kuongoza soka gumu sana lenye watu wote makocha,rais nakushauri kama unataka kufanikiwa ktk uongozi wako chukua kipaumbele kimoja kimoja,mf anza na ligi yenye uwiano sawa wa kimasirahi kwa vilabu,anzisha ligi za vijana kwa kila klabu,toa kozi za makocha pamoja na marefa uku ukiwa unashrikiana na serikali na wadhamin make hivi vitu vinaitaji bajet kubwa,hakika haya ukiyatimiza utatuacha pazuri ktk soka.NB FUNGUA WOTE WANAOLETA GOZIGOZI NA SIASA KTK SOKA