FDR.Jr
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 1,359
- 353
wananchi wa kata ya malinyi wamemchagua ndg said tira kuwa diwani wao, kura zilizo mpa ushindi diwani mteule tira zimetoa taswira na ishara kuwa mgombea ubunge wa chadema prof. Mlambiti anayo nafasi ya kumshinda tabibu haji mponda wa ccm. Mpaka sasa prof. Mlambiti amepata kura 70% ktk tarafa za malinyi na ngoheranga. Wagombea wote wawili wanatokea tarafa ya mtimbira na wote ni wapogoro, kazi hapa iko kwa ccm sasa kuchakachua itete,lupiro na mtimbira kwenyewe maana malinyi wao wameiunga mkono chadema.