Malimbikizo ya mishahara kwa Walimu

kacghee

Member
Dec 18, 2011
10
1
Hivi madeni yote ya Walimu yamelipwa Mwezi Januari kama Naibu Waziri wa Elimu alivyotamba? Mbona Walimu wengi wanaodai malimbikizo ya mishahara hawajalipwa?
 
Kuna matatizo mengi yanawakumba watumishi wa umma.Serikali imezidiwa kwani ukata umeingia mlangoni ndo maana ufanisi umotekea dirishani.
 
Back
Top Bottom