Jr king
Member
- Nov 4, 2019
- 50
- 55
Habalini wakuu... Moja kwa moja naomba niingie kwenye maada...Ni mda nikisikia kua kuna uhitaji wa bidhaa za mjerumani, hasa pasi....
Je ni kweli pasi hiyo ukiipata ni Mali na soko likoje na liko wapi?.....
Tafadhali kama kuna mtu mwenye taarifa kuhusu bidhaa tupatieni
maelezo.
Je ni kweli pasi hiyo ukiipata ni Mali na soko likoje na liko wapi?.....
Tafadhali kama kuna mtu mwenye taarifa kuhusu bidhaa tupatieni
maelezo.