Malezi ya mzazi mmoja(mama) ni chanzo cha ushoga tanzania

kijanamtanashati

JF-Expert Member
Aug 22, 2014
516
905
tukiangalia kwa sasa kuna ongezeko kubwa la mashoga watu tumekuwa tukiangalia sababu nyingine zinazosababisha hii kitu lakini kuna kubwa ambalo linasababisha ushoga kuenea kila kukicha tena kwa vijana wadogo chini ya umri wa miaka 18 na zaidi.

kusema kweli hawa dada zetu wanaozaa miaka hii na kulea wenyewe nao wanachangia kiasi kukubwa kuharibika kwa hawa watoto. sikatai kama mzazi(mama)inabidi umpende mwanao lakini kwa hawa dada zetu wamepitiliza. unakuta dada anamlea mtoto wa kiume kwa kumdekeza sana. mtoto hachapwi, hakanywi, kila kitu anachofanya mtoto ni sawa.

wengine wanaishi na hawa watoto wao wa kiume kwenye chumba kimoja, wanalala kitanda kimoja, mtoto anakuwa anaona kila kitu anachofanya mama. anaona mama anavyojipodoa, anavyovaaa, mashauzi anayofanya mama tena mbele ya mtoto wake.mtoto akilala akiamka anakutana na mapoda, makororo mengine ya kike, anaona jinsi mama anavyotumia hayo mavitu. matokeo yake mtoto anaamua kuiga mambo anayofanya mama ake. mnaweza mkaona ni kitu kirahisi lakini hii kitu ina mchango mkubwa sana katika kuharibu saikolojia ya mtoto juu ya uanaume wake.

kuna hizi familia ambazo unakuta familia ina watoto watatu wa kike na wa kiume mmoja. we kama mzazi inabidi utengeneze distance kidogo kati ya mtoto wa kiume na dada zake. asipende kukaa sana na dada zake mda wote. kama inawezekana mtenge chumba kabisa angali mdogo, angalau unaweza kumuokoa na hili janga.

kina dada single mothers leeni watoto wenu kwenye maadili yanayofaa msiige uzungu matokeo yake mnaharibu watoto wenu wanakua watoto mchelemchele chakula cha watu.
 
Kwahiyo baada ya kuona mama anavyojipodoa naye amaamua kuwa shoga na kubikiriwa mkund'u?
 
Inategemea...
wengi wao wanaingia ushoga kwa utashi wao na tamaa zao nafsi.
Wapo mashoga wamelelewa na wazazi wote tena kwa ulezi mwema lakini mbona ni mashoga maarufu tu.
 
Sio kweli.

Asilimia kubwa ya mashoga wanaanzia shuleni iwe ya kutwa au kulala.

Mashoga pia wanaanzia kwenye familia yao. Watoto wa kiume kufanyiana ufirauni.
 
mtoto yeyoye inategemeana mzazi/mlezi the way unavomtreat i f you treat a boy like she, he will behave like she. And if you treat a girl like he she will behave like he. Mtoto akiwa mdogo anaanza kudevelop sense of identity ( kujitambua) hivo anapopata akili ya kujitambua na akiwa anakuawa treated like he wakat yeye ni she au anakuwa treated like she wakat yy ni he ana acquire tabia za kike wakat yeye ni wa kiume na wakike akiwa treated kama wakiume ana acquire tabia za kiume. Ni vizuri mtoto afundishwe kulingana na tabia za jinsia yake vinginevyo tunawatengeneza kuja kuwa mashoga na matom boy. Hili linaendana na watu wanaomzunguka ikiwemo kumvisha mavazi yasiyo ya jinsia yake. Mf mtoto wa kike kumvisha nguo za kiume lazima atadevelope na kubehave kama wa kuume. Pia mtoto wa kiume kuwa na campan kubwa ya kike lazima atafuata tabia za kike. mwisho wake kuwa soft soft matokeo yake ni kutekenywa. Ndio maan zaman mtoto wa kiume akifikia umri mkubwa mkubwa alikua anashinda na baba au babu vilevile watoto wa kike walikua wanashinda na mama au bibi ili kuwafanya wajitambue na kuwa na tabia kuendana na jinsia yake. Baadhi ya single mothers wanatuharibia watoto wetu wa kiume
 
Back
Top Bottom