Ha haa haa jenerali ana vituko sana huyu mtu,hii ilikua siku ya msiba wa ndugu yetu mazura,wengi tulikua na uchungu lakini jenerali alitupatia sana na kutulainisha kidogo majonzi yakatoweka japo kwa muda,tulijua amaendaa utenzi lakini hatukua na idea kwamba atauwasilisha kwa style hiyo ya kughani yeye mwenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.