Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
kama ni nzuri i-print kawapelekee wake zako ati.Aisee hii comment nzuri sana...kuna haja gani ya kuhangaika na by product...we are dealing with the source.
kama ni nzuri i-print kawapelekee wake zako ati.Aisee hii comment nzuri sana...kuna haja gani ya kuhangaika na by product...we are dealing with the source.
technically, wanaitwa wakamua kinyesi maiti a.k.a wajukuu wa ibilisi.
Lol ! kutokana na kitabu unchokifuata, Mayahudi watanyanganywa ufalme na kupewa taifa jingine!Tena sisi tuna mwabudu Mungu wa Wa Israel sasa wakisikia hivyo roho inawauma saana.
Tehe Tehe Tehe,
Duuu uhwa jamaa wana matatizo kweli,
Sasa hiki kinyesi wanapeleka wapi wakishakamua?