Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 481
wadau nipo kwny dala dala natoka tandika naelekea kariako 2po kwny foleni ya taa hapa chang'ombe shell lakini huwezi amini kuna jamaa yupo na demu wake cti ya nyuma wanashikana na hatari zaidi kuna muda wamepigana denda kuna abiria 1 kawaambia ukweli kuwa wanavyofanya sio vizuri wamemjibu hayamuhusu,ama kweli utandawazi unazidi kuliangamiza taifa letu.