malavidavi hadi kwenye dala dala

malavidavi hadi kwenye dala dala

Hivi kumbe ni vibayaeeeeee, mie nimezoea kuwaona sana nikafikiri ni mambo ya Digitale na huu uzee wangu wasije niita babu mchamba mchamba.
 
Mmmhh!!
Ningekua abiria nisingevumilia, kama wanaovaa vibaya wanachaniwa nguo hadhari, bila shaka hao pia walikua na stahili yao
 
kama walikaa siti ya nyumba mnawachungulia ili iweje,nyie angalien mbele kwa dereva

Ndugu, Tz siku hizi kuna daladala za dereva mbele na nyuma, siku ukipata likizo njoo utembee Tz hata wiki moja, halafu urudi marekani.
 
Obama alivyokuwa kamlavidavi mkewe watu walisifia..he is such a jentomani!!mwenzetu nae alikuwa anatafuta promo...enheee msimuliaji...jamaa kanawa kabsaa au ...vp hukusikia kafleva?
 
Obama alivyokuwa kamlavidavi mkewe watu walisifia..he is such a jentomani!!mwenzetu nae alikuwa anatafuta promo...enheee msimuliaji...jamaa kanawa kabsaa au ...vp hukusikia kafleva?

Obama huo ni utamaduni wao,demu alikuwakaishadata ila bahati nzuri ckawa2meishafika kariakoo abiria wod wakashuka na mchezo huo wakauacha
 
Hayo ni mambo ya kufanya faragha. Huo ni uhuni na kujitia kuiga uzungu. Sijui tutaiga mangapi?
 
Back
Top Bottom