Malalamiko ya watumishi juu ya Utawala wa miaka mitano

Kama mzee wa visasi akirudi Tena watumishi watalimia kucha awapendi thus anawakomoa eti sababu walimpigia kura Lowasa, sawa na kuwabomolea wachaga nyumba zao kimara kwa kuwakomoa kwa kutompigia kura.
Atawashughulikia kweli kweli nashangaa haya makurugenzi ya uchafuzi yanajipendekezea nini kwa mtu katili amejaa chuki, hila na visasi akiamini anamiliki akili zetu
 
Hii comment itakuwa imeandikwa na mama Jessica.
 
Kura kwa TAL tu

Sent from my MRD-LX1F using JamiiForums mobile app
 
Akili kama hii ukajaze nafasi ya nani? Endelea kujambia makochi ya shemeji yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…