Inabidi tuweke mgomo wa kutumia hizi huduma za simu za mkononi walau wiki moja tu kila mmiliki wa simu hakuna kuweka vocha, tuwaone kama ofisini watawasha vi yoyozi, Voda wanachinja,tigo wananyonga, airtel wanaziba pumzi. loh.
Wajanja sana hawa watu. wakifanya hivyo kwa watu laki 2, ni 200*200000=40,000,000Tshs. Dah!! Utahamia wapi sasa? Kote hamna huruma! Ni ulimwengu wa mbwa anakula mbwa.
Na bado watatuibia mpaka tukome. Hii yote ni kutoka a Na kuwa Na chombo dhaifu kama TCRA. Hakuna lolote wafanyaro wanakula mshahara kama wafanyakazi wa ATC
TCRA mko wapo watanzania wanaibiwa na malalamiko mnayapata hamyafanyii kazi fungeni haya makampuni hata kwa mwezi mmoja tu ili waheshimu sheria za nchi
Inabidi tuweke mgomo wa kutumia hizi huduma za simu za mkononi walau wiki moja tu kila mmiliki wa simu hakuna kuweka vocha, tuwaone kama ofisini watawasha vi yoyozi, Voda wanachinja,tigo wananyonga, airtel wanaziba pumzi. loh.