Malalamiko: Kampuni ya Tigo mnakera

Malalamiko: Kampuni ya Tigo mnakera

Tigo pesa app hii hapa
 

Attachments

  • 1416292050188.jpg
    1416292050188.jpg
    62.6 KB · Views: 97
Sijui kama nimekuelewa vizuri, kama nimekuelewa vyema Tigo ndio the best one kwenye e-money na wana app yao kabisa ingia playstore ujipakulie.

Ila kwa huduma zingine kampuni zote hovyo kabisa na wizi wa bunde umeshika kasi.

Sio wote wanatumia smartphones jamaa.. menu yao haieleweki kabisa... Ila kiujumla huduma zao hovyo kabisa.. sijawahi kupiga huduma kwa wateja Tigo ikapokelewa... Achilia mbali matangazo yao ambayo hutupotezea muda tunapopiga sim ...
 
...mie nimelipia toka juzi malipo ya ZUKU lkn mpk leo ZUKU nikiwapigia wanadai hawajapata ...na HUDUMA cjapata ...
nikipiga customer care najibiwa UTUMBO
 
kweli network yao inajump jump, afu wana promotion za kitoto toto, mara saa 5 msg hiyo umeshinda sms 2000 tumia kabla ya saa 6.
 
Ndugu wana jamiiforums.

Mimi ni mteja wa kampuni ya simu za mkononi ya TIGO lakini cha kushangaza tokea nimefika hapa mjini Morogoro takribani mwezi mmoja na nusu nimeshuhudia huduma mbovu za kimtandao ndani ya Mkoa huu.

Ikifika saa 12 jioni mpaka saa 4 usiku network inakuwa zero haswa kwa watumiaji wa internet. Yani hata uwezo wa kufungua link za humu jamii forum ni shida, Facebook wanayoisema ni ya bure kwa kiswahili haifunguki, SMS za whatsapp haziingii wala hazitoki.

Tunaomba wahusika mlishughulikie hili tatizo maana nimejaribu kwenda ofisi zao pale mjini karibu na stend lakini hawajanisikiliza na kwa ninavyoona hawana nia ya kulishughulikia hili tatizo.
Hapo kwenye redi nilijua ni mimi tu, nikahisi labda eneo nililopo kumbe ni makusudi tu.

Line yao nimeinunua juzi tu matokea yake tofauti na nilivyotarajia, narudi voda kwa speed zote pamoja na gharama zao lakini hunipa huduma yenye unafuu.!
 
Back
Top Bottom