Makundi 5 ndani ya CCM ni lazima mpasuko utatokea

Makundi 5 ndani ya CCM ni lazima mpasuko utatokea

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,268
Reaction score
13,895
1. Team Samia: Hii imejaa wapambe wa Samia ambayo ni wanzanzibari ndani ya Serikali, IGP Wambura , Makonda na Mapolisi wengine wanaoendeleza utekaji. Hawa ndiyo Samia anawaamini. Sasa wanataka na Mwigulu naye awepo lakini Mwigulu yeye anapenda madaraka, anakula na kupuliza

2. Wana mtandao: Hawa ni wafanyabiashara kikundi hiki kinaongozwa na Rostam na Kikwete. Vilevile yupo VP Nchimbi ndiyo mtu wao na watafanya kila namna Nchimbi awe Raisi hata kama ni kumtengenezea zengwe Mama aondoke kwa njia za shinikizo au hata kifo. Kwa sasa wanajifanya wapo na Samia lakini maslahi yao yakiwa hatarini mfano kuzuiwa kusafiri familia zao au kuzuiwa kuchukuwa mikopo kwenye bank za huko Ulaya na Marekani Samia watamuondoa. Wana mtandao wa mabodi guard wa jeshi, usalama na hata madaktari wa Raisi ni watu wao hivyo wanaweza kumuondoa Samia kwa njia yoyote

3. Wapinzani wa ndani ambao ni Makamba, Ummy Mwalimu, Gwajima, na Naibu Waziri Mkuu wa zamani naye wanataka kumuingiza huko na Waziri wa zamani wa Kilimo, Bashe naye anafikiria kuingia huko. Ni vijana ambao wanajiona ndiyo viongozi wajao.

4. Wasomi ambao hawajui watakalo, wanaopenda haki: Majaliwa, Mpango, wazee wastaafu wengi na mawaziri machawa kama Kabudi ambao wengine wana njaa. Hawa wangependa kuwe na HAKI na chaguzi za kishindani lakini hawajui wafanye nini. Tatizo lao watu wa busara wakati Serikali ni ya uongo uongo na visasi. Rushwa inawaamiza sasa lakini hawa hawana meno

5. Kuna kundi la tano linasubiri Katiba Mpya waondoke CCM. Hawa ni wengi wale walio hamia kutoka CHADEMA chaguzi huru zikirudi nao watarudi tena kwa kasi. Viongozi wengi waliotoka CHADEMA hawaipendi CCM, ni madaraka tu wengi watarudi kesho kama kuna chaguzi za huru.

Ni muda tu mapinduzi ndani na nje ya CCM yanakuja TZ.

Natabiri Samia ataondolewa na wanamtandao kwa njia za siri za kiafya wakishidwa hata inawezekana kabisa wakatafuta waasi ndani ya jeshi na kufanya tukio. Nitaishia hapo. Madaktari wao wana imani watafanya kazi na hakuna ushahidi utabaki hii ni kama Mama atakataa kuondoka kumpisha Nchimbi.

Makamba amekuwa USA kwa muda akiongea na CIA na Serikali ili wamchague yeye lakini jamaa hapendeki! CIA wanapenda watu wengine kabisa mtu wao mkubwa ni Sugu lakini yuko upinzani hayupo polished kwenye elimu lakini wanatafuta mtu mwingine. Lissu naye ni mtu wao lakini wanajua ni mtu wa msimamo sana. Wanatafuta vijana wengine ambayo sio wajamaa.
 
Pepo wachafu wanakusumbua.
Tabiri zenu za kisenge mlianza tangu July 2025.
Mungu sio manabii wenu fake, tukavuka.
Kila siku mnaleta stori zenu za kipuuzi zisizo na maana.
Mwaka jana 2025 zaidi ya manabii washenzi wazinifu kumi walitabiri mpusuko ndani ya CCM kabla ya uchaguzi mkuu lakini hapakuwa na mpasuko
Manabii wengine ambao ni wazinzi wa kuoindukia wakaona kifo cha Samia kabla ya uchaguzi mkuu lakini Samia yupo hai .
 
Umeongea vitu vya kubumba eti CIA wanamtaka Sugu, eti Ummy Mwalimu ni mpinzani wa ndani.

Huyu Ummy mtoto mzuri apinge nini huyu?
 
Makundi ni matatu tu

1. Msogga: Wana mtandao na wahuni wakubwa, mafisadi Kikwete na Samia wakiwemo. Kundi hili halina mzalendo hata mmoja limejaa matapeli na wezi wakubwa katili.

2. Kundi la Nchimbi: Wanachama wa Lowassa wanaviziana na Msoga gang humu namo mafisadi yamo ya kutosha na wazalendo kadhaa kwa kiasi fulani wana huruma na Tanganyika.

3. Sukuma gang: Kundi la wazalendo wahafidhina wafia TZ wakiongozwa na Mpango. Majaliwa, Warioba na Biteko. Muda wote wanalia kimoyomoyo jinsi Tanganyika inavyobagazwa na kundi 1

Zamani yalikuwa makundi mawili hayo ya juu ujio wa magufuli umeongeza kundi namba 3.

Sasa kundi 1 ndo lenye nguvu wana pesa kuwatawanya hawa wengine si unajua watz kwa unafiki
 
Umeongea vitu vya kubumba eti CIA wanamtaka Sugu, eti Ummy Mwalimu ni mpinzani wa ndani.

Huyu Ummy mtoto mzuri apinge nini huyu?

Ile kitu alofanya ilikuwa ni kosa kubwa la kiufundi.

Ila Bi mkubwa kwenye "eavesdropping" yupo fit kinoma afuata ya mtangulizi wake.
 
Team Samia: Hii imejaa wapambe wa Mama ambayo ni wanzanzibari ndani ya serikali, IGP Wambura , Makonda na Mapolisi wengine wanao endeleza utekaji.
Huwa nachukizwa sana kila wakati kutajwa Wazanzibari ambao kimsingi hawawashi hawazimi ila watajwe tu kwasababu mkuu wa nchi anatoka Zanzibar. Karume na Nyerere walitukosea sana na Mungu atawalipa.
 
Sukuma gang kundi la wazalendo wahafidhina wafia tz wakiongozwa na Mpango. Majaliwa,Warioba na Biteko. Mda wote wanalia kimoyomoyo.jinsi Tanganyika inavyobagazwa na kundi
Ila uko vizuri kuonekana nawe uwemo tu. Hongera.
 
Pepo wachafu wanakusumbua.
Tabiri zenu za kisenge mlianza tangu July 2025.
Mungu sio manabii wenu fake, tukavuka.
Kila siku mnaleta stori zenu za kipuuzi zisizo na maana.
Mwaka jana 2025 zaidi ya manabii washenzi wazinifu kumi walitabiri mpusuko ndani ya CCM kabla ya uchaguzi mkuu lakini hapakuwa na mpasuko
Manabii wengine ambao ni wazinzi wa kuoindukia wakaona kifo cha Samia kabla ya uchaguzi mkuu lakini Samia yupo hai .
Chawa kazini
 
CCM 2030 hakitoboi, kuna mpasuko utaibuka sio poa.

1. Rais atakuwa anaondoka, so hakuna nguvu ya kulazimisha kama sasa

2. Kuna vuguvugu ndani sema watu waoga -

3. Urais umekuwa mtamu sana sio tena huduma ni ufalme na kutoka kimaisha..thus hakuna kundi litakubali kupoteza nafasi hiyo adhimu ili waendelee kubagaza hii nchi

4. Hakueleweki ndani kule, hawana presidential figure na mtu mwenye mvuto kwa watu, wanacheza na bahati tu.

5. Hakuna mtu ambaye anakubalika au hata kuwa na mwonekano wa Urais - commanding figure....[Ni kama Waziri mkuu wa sasa]

6. Wajifunze kilichotokea 2015, Kikwete alibaki anatoa macho, Magu akaja Waokoa from nowhere tu....[Mtu wa kuwaokoa 2030] hayupo..
 
CCM 2030 hakitoboi, kuna mpasuko utaibuka sio poa.
1.Rais atakuwa anaondoka, so hakuna nguvu ya kulazimisha kama sasa
2.Kuna vuguvugu ndani sema watu waoga -
3.Urais umekuwa mtamu sana sio tena huduma ni ufalme na kutoka kimaisha..thus hakuna kundi litakubali kupoteza nafasi hiyo adhimu ili waendelee kubagaza hii nchi
4.Hakueleweki ndani kule, hawana presidential figure na mtu mwenye mvuto kwa watu, wanacheza na bahati tu.
5.Hakuna mtu ambaye anakubalika au hata kuwa na mwonekano wa Urais - commanding figure....[Ni kama Waziri mkuu wa sasa]
6.Wajifunze kilichotokea 2015, Kikwete alibaki anatoa macho, Magu akaja Waokoa from nowhere tu....[Mtu wa kuwaokoa 2030] hayupo..
Kuja uwezekano wakamtengeneza gwajiboy aokoe jahazi
 
Kundi jengine ni wale waliohamia CHAUMMA.
Watu wasio na dira, wanatumia utumbo mkubwa kufikiria. Hawaoni mbali, wako tayari kuwauza mama zao kwa bei ya jioni ili wapewe nyama ya pweza aliye China.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom