DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,131
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Vijana na Wanawake (TAFEYOCO), Elvis Makumbo, amewashauri vijana kulinda amani iliyopo nchini na kuepuka vishawishi vilivyopo kwenye mitandao ya kijamii, vinavyoweza kusababisha uvunjifu wa amani nchini.
“kwa hiyo wanahamasisha baadhi ya watu ikiwezekana hata kutoshiriki uchaguzi wenyewe. Lakini wengine wanaenda mbali wanasema hata siku ya uchaguzi tuandamane ili ionekane tu lile zoezi au lile jambo halijafanyika. Kwa hiyo sasa kama vijana lazima tuwe makini,” amesema Makumbo.
Amesema hayo kwenye Kipindi cha Jambo Tanzania cha TBC1 leo Oktoba 7, 2025, alipokuwa akizungumzia kumbukuzi ya kifo cha Mwalimu Nyerere.
“kwa hiyo wanahamasisha baadhi ya watu ikiwezekana hata kutoshiriki uchaguzi wenyewe. Lakini wengine wanaenda mbali wanasema hata siku ya uchaguzi tuandamane ili ionekane tu lile zoezi au lile jambo halijafanyika. Kwa hiyo sasa kama vijana lazima tuwe makini,” amesema Makumbo.
Amesema hayo kwenye Kipindi cha Jambo Tanzania cha TBC1 leo Oktoba 7, 2025, alipokuwa akizungumzia kumbukuzi ya kifo cha Mwalimu Nyerere.