Makosa wanayofanya wanaume waliooa

Men will always be MEN! Ukiona uko na dume la mbegu na ITIFAKI HAIZINGATIWI stuka mapemaaa atakuwa mfuasi wa CAMEROON si bure unles kama ushamtengeneza kwa mambo yetu yaleee ya kuchekea kwenye kinu.
Kuna mambo km ya kuvaa boxer bila kufua na soksi chafu..haioneshi uaanaume..wakati mwingine inaonesha malezo mabovu na background za mbovu km umaskin, uswazi nk
 
Mimi bado Ntoto Nndogo huwa sifanyi makosa mengi kiasi hicho labda haya tu kwasababu..
 
hakuna ukweli hapo, mtoa mada labda mumeo ndio kilaza hivyo
 
Men will always be MEN! Ukiona uko na dume la mbegu na ITIFAKI HAIZINGATIWI stuka mapemaaa atakuwa mfuasi wa CAMEROON si bure unles kama ushamtengeneza kwa mambo yetu yaleee ya kuchekea kwenye kinu.

Excuse me!!!
Akikotomb...a shoga yako..men always be s men tu
Akikuletea watoto 5 mama tofauti. ..men always be a men.
Akilala na house gal wako...men always be men
Give me break.....
 
Men will always be MEN! Ukiona uko na dume la mbegu na ITIFAKI HAIZINGATIWI stuka mapemaaa atakuwa mfuasi wa CAMEROON si bure unles kama ushamtengeneza kwa mambo yetu yaleee ya kuchekea kwenye kinu.

I concur with u. Ni jeshini tu ndo hutakiwo kufanya hivyo
 

Dada umekosea tu title ya maada yako. Hizo ndizo sifa za mwanaume wa kweli. Vinginevyo naye atakuwa mwanamke tu. Ha ha ha
 

Hiyoyenye red unanisema mimi nini?
 

Pokea like mkuu, yaani hapo kwa red ni janga kwa wadada wengi aisee
 
Duh! Kusema ukweli hizo tabia zilizo nyingi hata mimi ninazo kwakweli.
Kumbe huwa tunakosea loh!
 
12. Kutupa nguo zote sakafuni akiwa anatafuta tshirt/ pensi yake anayoipenda kabatini
13. ukiwa safariri, ukirudi unakuta boxer na soksi zimetapakaa sakafu ya chumba kizima
14. hii inanikera kuliko zote.... kutonyanyua toilet seat (toilets za kukaa) kabla/ baada ya ku-pee.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…