Makosa Kwenye Mtandao Taratibu za Kufuata

Yona F. Maro

R I P
Nov 2, 2006
4,202
218
1 - Mtu ataenda Kushitaki

2 - Mahakama pamoja na jeshi la polisi litawasiliana na JF kwa ajili ya kupatiwa Taarifa za ID yako .

3 - IP ADDRESS NA EMAILS zako zikipatikana watawasiliana na ISP wako kwa ajili ya kujujua wewe pamoja na Kuwasiliana na Mtandao unaotoa huduma za email zako kama zile yahoo au hotmail ingawa hii ni kwa asilimia 1 kati ya Mia hao Yahoo au hotmail wajibu maombi .

4 - Kwa IP Address ISP wako anaweza kutoa ushirikiano kama wanasera hiyo na kama wamehifadhi taarifa za matumizi yako kwako na kama kuna sheria zingine zinazohusu privacy za watu kama zinaweza kutumika hapo
 
1 - Mtu ataenda Kushitaki

2 - Mahakama pamoja na jeshi la polisi litawasiliana na JF kwa ajili ya kupatiwa Taarifa za ID yako .

3 - IP ADDRESS NA EMAILS zako zikipatikana watawasiliana na ISP wako kwa ajili ya kujujua wewe pamoja na Kuwasiliana na Mtandao unaotoa huduma za email zako kama zile yahoo au hotmail ingawa hii ni kwa asilimia 1 kati ya Mia hao Yahoo au hotmail wajibu maombi .

4 - Kwa IP Address ISP wako anaweza kutoa ushirikiano kama wanasera hiyo na kama wamehifadhi taarifa za matumizi yako kwako na kama kuna sheria zingine zinazohusu privacy za watu kama zinaweza kutumika hapo

Shy @ work!

Hapa unajaribu kuelezea SOP au ulikuwa kwenye kampeni ukaingia JF ukakuta watu wanagonga nyundo Chama Chenu?

Au unajaribu kumuelewesha Mukulu nini cha kufanya - maana wakati wa uzinduzi alilalama saana kuhusu mtandao!
 
1 - Mtu ataenda Kushitaki

2 - Mahakama pamoja na jeshi la polisi litawasiliana na JF kwa ajili ya kupatiwa Taarifa za ID yako .

3 - IP ADDRESS NA EMAILS zako zikipatikana watawasiliana na ISP wako kwa ajili ya kujujua wewe pamoja na Kuwasiliana na Mtandao unaotoa huduma za email zako kama zile yahoo au hotmail ingawa hii ni kwa asilimia 1 kati ya Mia hao Yahoo au hotmail wajibu maombi .

4 - Kwa IP Address ISP wako anaweza kutoa ushirikiano kama wanasera hiyo na kama wamehifadhi taarifa za matumizi yako kwako na kama kuna sheria zingine zinazohusu privacy za watu kama zinaweza kutumika hapo

Mimi huyu sijamelewa!!kwani mbona ningukumshika mtu!!waharifu wakwenye mtandao kaa ukijua kamwe hawatumii adress za ukweli nakamwe hawazitumii kuwasiliana na yeyote zaidi yakupiga nyundo pale wanapopataka!!Hiyo IP
,ISP vina watega wale wanaotumia email zao za ukweli!!kama natumia email fake na ipo cafe??
Nautueleze lengo la slead yako aieleweki shy-sasa sijui ni shy huyuhuyu au jina tu..anyway!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom