Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 218
1 - Mtu ataenda Kushitaki
2 - Mahakama pamoja na jeshi la polisi litawasiliana na JF kwa ajili ya kupatiwa Taarifa za ID yako .
3 - IP ADDRESS NA EMAILS zako zikipatikana watawasiliana na ISP wako kwa ajili ya kujujua wewe pamoja na Kuwasiliana na Mtandao unaotoa huduma za email zako kama zile yahoo au hotmail ingawa hii ni kwa asilimia 1 kati ya Mia hao Yahoo au hotmail wajibu maombi .
4 - Kwa IP Address ISP wako anaweza kutoa ushirikiano kama wanasera hiyo na kama wamehifadhi taarifa za matumizi yako kwako na kama kuna sheria zingine zinazohusu privacy za watu kama zinaweza kutumika hapo
2 - Mahakama pamoja na jeshi la polisi litawasiliana na JF kwa ajili ya kupatiwa Taarifa za ID yako .
3 - IP ADDRESS NA EMAILS zako zikipatikana watawasiliana na ISP wako kwa ajili ya kujujua wewe pamoja na Kuwasiliana na Mtandao unaotoa huduma za email zako kama zile yahoo au hotmail ingawa hii ni kwa asilimia 1 kati ya Mia hao Yahoo au hotmail wajibu maombi .
4 - Kwa IP Address ISP wako anaweza kutoa ushirikiano kama wanasera hiyo na kama wamehifadhi taarifa za matumizi yako kwako na kama kuna sheria zingine zinazohusu privacy za watu kama zinaweza kutumika hapo