MAKO's General Enterprises LTD

MAKO's General Enterprises LTD

Joined
Oct 18, 2015
Posts
12
Reaction score
3
Mako's Lodge iliyopo maeneo ya Airport Karakata( DSM) inauhitataji Wa vijana Wa kazi za uhudumu Wa Lodge. Elimu ya mwombaji isiwe Chini ya kidato cha nne. Kazi za Lodge ni kama zifuatazo;
-Usafi in general nnje na Ndani ya Lodge
-Ufuaji Mashuka na taulo za wateja pamoja na kuzipanga sehemu husika zitakapo kauka.
-Kupokea,kunakili na kukabidhi Funguo kwa wateja Wa vyumba.
-Kufanya hesabu Wa report za mwisho Wa mwezi.
MSHAHARA NI; 100,000/= na utapanda kadri ya ufanisi Wa kazi ya mtu anavyofanya.
MAWASILIANO: 0715672082
 
Ina maana kila mtu anapangiwa kazi yake mfano wa hesabu snajitegemea, wa kufua anajitegemea plz toa ufafanuzi mkuu
 
Mako's Lodge iliyopo maeneo ya Airport Karakata( DSM) inauhitataji Wa vijana Wa kazi za uhudumu Wa Lodge. Elimu ya mwombaji isiwe Chini ya kidato cha nne. Kazi za Lodge ni kama zifuatazo;
-Usafi in general nnje na Ndani ya Lodge
-Ufuaji Mashuka na taulo za wateja pamoja na kuzipanga sehemu husika zitakapo kauka.
-Kupokea,kunakili na kukabidhi Funguo kwa wateja Wa vyumba.
-Kufanya hesabu Wa report za mwisho Wa mwezi.
MSHAHARA NI; 100,000/= na utapanda kadri ya ufanisi Wa kazi ya mtu anavyofanya.
MAWASILIANO: 0715672082
Mkuu tafadhali toa ufafanuzi ili wstu tuombe izi nafasi kila sector inajitegemea au sector zote zinafanywa kwa pamoja kaka namaanisha kils mtu na kitengo chake au
 
Ina maana kila mtu anapangiwa kazi yake mfano wa hesabu snajitegemea, wa kufua anajitegemea plz toa ufafanuzi mkuu
Hapana nilikuwa namaana ya kwamba hayo ndiyo majukumu mtu atakayo fanya pindi ameajiriwa kwa maana biashara kwa siku hizi haipo Juu kwa mfumo huo kuajiri kila mtu na kitengo husika
 
Hapana nilikuwa namaana ya kwamba hayo ndiyo majukumu mtu atakayo fanya pindi ameajiriwa kwa maana biashara kwa siku hizi haipo Juu kwa mfumo huo kuajiri kila mtu na kitengo husika
Kaka huoni hii italeta ukosefu wa ufanisi wa kazi maana apo itatokea kutegeana na kupelekea kazi kualibika ingekuwa vyema kama kila mtu atakuwa na kitengo chake hii ingeongeza ufanisi wa kazi kwa waajiriwa wote lakini hii ya joint venture si nzuri kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom