tatizo ni nini?Aina ya madawa,kutokuosha kichwa ama ugonjwa?
Nywele haipiti maji more than a week alafu Na joto unatarajia nini?
tatizo ni nini?Aina ya madawa,kutokuosha kichwa ama ugonjwa?
Bado sijaona ubaya wa urembo alotaja, vyote vinamfanya mwanamke apendezeNadhani mleta mada hakumaanisha mwanamke asijipambe.
Mwanamke lazima ajipambe ila tatizo linakuja unajipambaje na materials unazotumia.