Makongoro Nyerere kugombea ubunge Kawe

Makongoro Nyerere kugombea ubunge Kawe

Lengeri

Senior Member
Joined
Jul 3, 2009
Posts
180
Reaction score
18
Mtoto wa hayati Mwalimu Nyerere, Makongoro baada ya kubwagwa vibaya kwenye mbio za urais ndani ya CCM, sasa ameelekeza nguvu zake jimbo la Kawe.

Lengeri
 
Hatopata!, labda hatafute jimbo la vijijini kama prof. Muongo...

Hata mjinga anajanjaruka. CCm wana hali mbaya sn.
 
Kama alikatwa na kamati ya maadili ya chama chake naona hana sifa wala nafasi coz kamati ya maadili ndio ilimkata na hvyo naona nimpuuze tu
 
Duh ina maana ubunge wa JMT unalipa kuliko ubunge wa EAC?
 
Hahaa labda serikal.o za.mta huku wanamchinjia baharini
 
Back
Top Bottom