GE2025 Makonda: Wameweka mpira kwapani sisi tunaendelea

GE2025 Makonda: Wameweka mpira kwapani sisi tunaendelea

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Arusha Mjini Poul Makonda ametuma salamu Kwa vyama vya upinzani ambavyo vimegomea uchaguzi ambapo amesema wametia mpira kwapani lakini wao Chama Cha Mapinduzi(CCM)wanaendelea na michakato ya uchaguzi Mkuu 2025

Makonda ameyasema hayo Musoma Mjini Mkoani Mara kwenye mwendelezo wa Mikutano ya Kampeni za uchaguzi Mkuu ya Mgombea wa kiti Cha Urais Kwa Tiketi ya CCM

Makonda amesema kuwa Mkoa wa mara wa Sasa sio hule wa kukatana mapanga na kupeleka mauaji ila mara ya sasa ni ya kushiriki uchaguzi wa amani na utulivu ili kupata viongozi sahihi.

Pia Soma:Makonda: Kikundi kilichomtukana Magufuli ndio hicho kinamtukana Samia, 'mimi ni size yenu' njooni tupambane
 
Hiyo kutia mpira kwapani ndio njia pekee imekufanya uwe mbunge wa A town....ni bora uishukuru kuliko kubeza!!.
 
Hiyo kutia mpira kwapani ndio njia pekee imekufanya uwe mbunge wa A town....ni bora uishukuru kuliko kubeza!!.
Tena na akubali wanaendelea na ile kampeni yao ya kuwasaka akina Hpp
 
Back
Top Bottom