Makonda ukiwa mwongo jitahidi uwe na kumbukumbu

Makonda ukiwa mwongo jitahidi uwe na kumbukumbu

Tulimumu

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2013
Posts
14,395
Reaction score
13,266
Katika mapokezi ya ndege leo RC Paulo Makonda amesema wabunge wa upinzani hawawakilishi kero na matatizo ya majimbo yao. Ametaja majimbo ya Ubungo, Kawe na Kibamba pamoja na wabunge wake na akamwomba rais ampe bil 1.5 yeye ili awajengee hospitali wananchi wa wilaya ya Ubungo.

Kwa kumkumbusha tu makonda ni kuwa serikali kupitia viongozi wake wakiwemo mawaziri hadi rais wamesema hawawezi kuwasikiliza wabunge wa upinzani. Serikali ndiyo inayokusanya kodi hivyo ndiyo yenye wajibu wa kutoa huduma kama za afya na elimu kwa wananchi kazi ya mbunge ni siyo kujenga hospitali. Sasa kama wabunge wa upinzani serikali imekataa kuwasikiliza na pia kutopeleka miradi ya maendeleo kwenye najombo yao yeye ana haki gani kuwalaumu.

Kwenye jimbo alilokuwa akiliongoza Lissu serikali ilikuwa haipeleki maji kwakuwa tu mbunge ni wa upinzani. Baada ya kuingia wa chama tawala hata kabla mbunge hajaanza kazi rasmi rais akatangaza kuwa atapeleka maji kwakuwa mbunge ni wa CCM.

Naibu waziri wa elimu.akisema alikuwa hawezi kwenda Simnjiro wakati mbunge alikuwa wa upinzani. Baadhi ya ma RC wenzako wametangaza wazi kuwa madiwani na wabunge wa CCM wawapigie simu muda wowote watapokea lakini simu za madiwani wa upinzani hawapokei.

Hata kwenye hiyo shughuli ya ndege mliwaalika viongozi wa upinzani zaidi ya kuwaandaa wana CCM kwa wingi? Tatizo mmegeuza kila kitu kuwa chaCCM. Mnatengeneza utengano ambao baadaye hamtaweza tena kuunganisha watanzania wote kama taifa kwasababu ninyi ndio mnaona mna haki katika nchi hii
 
Katika mapokezi ya ndege leo RC Paulo Makonda amesema wabunge wa upinzani hawawakilishi kero na matatizo ya majimbo yao. Ametaja majimbo ya Ubungo, Kawe na Kibamba pamoja na wabunge wake na akamwomba rais ampe bil 1.5 yeye ili awajengee hospitali wananchi wa wilaya ya Ubungo.

Kwa kumkumbusha tu makonda ni kuwa serikali kupitia viongozi wake wakiwemo mawaziri hadi rais wamesema hawawezi kuwasikiliza wabunge wa upinzani. Serikali ndiyo inayokusanya kodi hivyo ndiyo yenye wajibu wa kutoa huduma kama za afya na elimu kwa wananchi kazi ya mbunge ni siyo kujenga hospitali. Sasa kama wabunge wa upinzani serikali imekataa kuwasikiliza na pia kutopeleka miradi ya maendeleo kwenye najombo yao yeye ana haki gani kuwalaumu.

Kwenye jimbo alilokuwa akiliongoza Lissu serikali ilikuwa haipeleki maji kwakuwa tu mbunge ni wa upinzani. Baada ya kuingia wa chama tawala hata kabla mbunge hajaanza kazi rasmi rais akatangaza kuwa atapeleka maji kwakuwa mbunge ni wa CCM.

Naibu waziri wa elimu.akisema alikuwa hawezi kwenda Simnjiro wakati mbunge alikuwa wa upinzani. Baadhi ya ma RC wenzako wametangaza wazi kuwa madiwani na wabunge wa CCM wawapigie simu muda wowote watapokea lakini simu za madiwani wa upinzani hawapokei.

Hata kwenye hiyo shughuli ya ndege mliwaalika viongozi wa upinzani zaidi ya kuwaandaa wana CCM kwa wingi? Tatizo mmegeuza kila kitu kuwa chaCCM. Mnatengeneza utengano ambao baadaye hamtaweza tena kuunganisha watanzania wote kama taifa kwasababu ninyi ndio mnaona mna haki katika nchi hii
Hospitali anajenga waziri Jaffo......yeye Makonda akomae na machinjio ya Vingunguti.

Jaffo ameshajenga hospitali, zahanati na vituo vya afya zaidi ya 300 na hivi karibuni atajenga vingine zaidi ya 50!
 
hakuna siku serekali iliposema haitafanya kazi na wapinzani, ila ukweli ni kwamba wapinzani wamelala sana, hawasemi kero zinazokabili wananch wao, mfano mdogo tu Nimbunge wa jimbo langu sane mashariki hajawahi hata siku moja kuongea kero za jimbo ikiwemo barabara mbovu ya mkomazi same, lakini barabara nyingi za milimani hazipitiki
 
hakuna siku serekali iliposema haitafanya kazi na wapinzani, ila ukweli ni kwamba wapinzani wamelala sana, hawasemi kero zinazokabili wananch wao, mfano mdogo tu Nimbunge wa jimbo langu sane mashariki hajawahi hata siku moja kuongea kero za jimbo ikiwemo barabara mbovu ya mkomazi same, lakini barabara nyingi za milimani hazipitiki
Hilo jimbo la sane mashariki mbunge wake ni nani?
 
Mkuu huyo ni zwazwa, kama alishindwa kukumbuka masomo ya darasani akafeli mitihani yote FFFFFFF, atawezaje kukumbuka mambo makubwa ya nchi? Huyu ni zero brain hata kumjadili ni kumpa credit.. Mjadala wa bashite ulifungwa na gwajima siku nyingi, huyu aendelee tu kumuombea mkuu uhai ili nae aendelee kuwepo.
 
duh....
hakuna siku serekali iliposema haitafanya kazi na wapinzani, ila ukweli ni kwamba wapinzani wamelala sana, hawasemi kero zinazokabili wananch wao, mfano mdogo tu Nimbunge wa jimbo langu sane mashariki hajawahi hata siku moja kuongea kero za jimbo ikiwemo barabara mbovu ya mkomazi same, lakini barabara nyingi za milimani hazipitiki
nimeamini nyie ccm ni wezi..... embu taja jina la huyo mbunge kutoka sane mashariki wa upinzani...
 
Mkuu huyo ni zwazwa, kama alishindwa kukumbuka masomo ya darasani akafeli mitihani yote FFFFFFF, atawezaje kukumbuka mambo makubwa ya nchi? Huyu ni zero brain hata kumjadili ni kumpa credit.. Mjadala wa bashite ulifungwa na gwajima siku nyingi, huyu aendelee tu kumuombea mkuu uhai ili nae aendelee kuwepo.
Tabia za Kike Hizi... Punguza Wivu Kwa Mwanaume Mwenzako
 
Tabia za Kike Hizi... Punguza Wivu Kwa Mwanaume Mwenzako
kwamba Gwajima alisema uongo? Jitu lilisasambuliwa mpaka likaenda kulia madhabahuni kuomba huruma za waamini? Ajitathmini aache chuki mjinga yule, mwanaume unajipendekezaje namna hiyo na kusema sema watoto wa kike? Huyu mtu anaweza hata kufanya mjadala na Halima Mdee huyu ffffff, ashukuru tu amekuwa hilo kabila alilonalo maana limemsaidia kuwa hapo alipo.
 
Tabia za Kike Hizi... Punguza Wivu Kwa Mwanaume Mwenzako
Ama uanaume upi kwa mfano! Kuvaa suruali hata Halima Mdee huvaa! Mwanaume hadukuliwi gametiume na kuwekwa kwa mwanamke kwa sindano ili apate ujauzito Bali hujamiiana na kumwaga manii kwenye uke na hapo utungisho hufanyika Kama wakati ni muafaka!
 
Katika mapokezi ya ndege leo RC Paulo Makonda amesema wabunge wa upinzani hawawakilishi kero na matatizo ya majimbo yao. Ametaja majimbo ya Ubungo, Kawe na Kibamba pamoja na wabunge wake na akamwomba rais ampe bil 1.5 yeye ili awajengee hospitali wananchi wa wilaya ya Ubungo.

Kwa kumkumbusha tu makonda ni kuwa serikali kupitia viongozi wake wakiwemo mawaziri hadi rais wamesema hawawezi kuwasikiliza wabunge wa upinzani. Serikali ndiyo inayokusanya kodi hivyo ndiyo yenye wajibu wa kutoa huduma kama za afya na elimu kwa wananchi kazi ya mbunge ni siyo kujenga hospitali. Sasa kama wabunge wa upinzani serikali imekataa kuwasikiliza na pia kutopeleka miradi ya maendeleo kwenye najombo yao yeye ana haki gani kuwalaumu.

Kwenye jimbo alilokuwa akiliongoza Lissu serikali ilikuwa haipeleki maji kwakuwa tu mbunge ni wa upinzani. Baada ya kuingia wa chama tawala hata kabla mbunge hajaanza kazi rasmi rais akatangaza kuwa atapeleka maji kwakuwa mbunge ni wa CCM.

Naibu waziri wa elimu.akisema alikuwa hawezi kwenda Simnjiro wakati mbunge alikuwa wa upinzani. Baadhi ya ma RC wenzako wametangaza wazi kuwa madiwani na wabunge wa CCM wawapigie simu muda wowote watapokea lakini simu za madiwani wa upinzani hawapokei.

Hata kwenye hiyo shughuli ya ndege mliwaalika viongozi wa upinzani zaidi ya kuwaandaa wana CCM kwa wingi? Tatizo mmegeuza kila kitu kuwa chaCCM. Mnatengeneza utengano ambao baadaye hamtaweza tena kuunganisha watanzania wote kama taifa kwasababu ninyi ndio mnaona mna haki katika nchi hii
Watu awatahelewa. 2020 Kuna kazi Sana. Wabunge wa sehemu hizo. Kwanza wapiga kura watapungua Sana. Na bodaboda na machinga wanamorali na JPM. Na hiyo hosp utakuwa kigezo kwa CCM
 
Yule ni wa kupuuzwa tu, toka lini zero brain akawasemea wananchi
 
hakuna siku serekali iliposema haitafanya kazi na wapinzani, ila ukweli ni kwamba wapinzani wamelala sana, hawasemi kero zinazokabili wananch wao, mfano mdogo tu Nimbunge wa jimbo langu sane mashariki hajawahi hata siku moja kuongea kero za jimbo ikiwemo barabara mbovu ya mkomazi same, lakini barabara nyingi za milimani hazipitiki
Wewe unaonekana hufuatilii matamako ya viongozi wa CCM na rais mwenyewe. Kwa taarifa yako wamesema hivyo hadharani mchana kweupe. Na mara nyingi rais anapita kwenye majimbo ya wapinzani na kuwaambia wananchi walikosea kuwachagu madiwani na wabunge wa upinzani. Naibu waziri aliyejifungua hivi karibuni aliomba radhi hadharani kwa rais eti kwa wananchi wa eneo analotokea kuwachagua wapinzani. Wewe unateteta usichokijua
 
Wakati nasomea uongozi nilisisitizwa sana kwenye kila project development stage....user involvement ni kitu muhimu sana....sasa kwenye scenario kama hii ya juzi wananchi wote wa ujumla wao wangekuwa involved toka mwanzo hadi kwenye mapokezi inakuwa furaha ya nchi nzima,

Sasa unazungukwa na wana CCM pekee inaleta picha si nzuri na huwezi kufurahia hata hiyo project delivery.
 
Hospitali anajenga waziri Jaffo......yeye Makonda akomae na machinjio ya Vingunguti.

Jaffo ameshajenga hospitali, zahanati na vituo vya afya zaidi ya 300 na hivi karibuni atajenga vingine zaidi ya 50!
Kodi za wananchi ndio zimejenga sio Jafo wala Makonda...huyo Jafo na Makonda wana hela gani za kuwasaidia wananchi wakati hata wao wanaishi kwa kujichekeshachekesha na kumsifia Malaika mkuu kutoka Chato?

WATANZANIA SIO WAJINGA!.
 
Back
Top Bottom