Makonda tena Dodoma amtunishia misuli UVCCM mwenzie

Makonda tena Dodoma amtunishia misuli UVCCM mwenzie

Makonda ni mtoto wa Nyumba ya laana yule..... Hajielewi kabisaaa
 
Makonda hajaingia kwenye anga za wala 0713... mbona mlaini sana tu
 
naona kesho wamelipia muda wa hwani katika ile radio yao ya propoganda kwa ajili ya kujitetea, wakati wa tanzania tuliona kila kitu.
 
Huyu KONDA ameamua kufuata nyayo za MWIGU...LU enzi zile za chinja chinja.Naona anajiandaa kuchukua mikoba ya MWIGULU mwakani kipindi cha uchaguzi.Wapinzani mkae mkao wa kula. Hususani CDM...
 
Aisee chalii hiyo mtu haiwezi kuja A Town arif
Halafu watu wa Arusha wanachekesha kweli ..eti hawezi kwenda A town..
Mtamfanyaje ? au Mtamtisha na meno yenu ya dhahabu..?
Mimi si shabiki wa makonda wala siungi mkono mambo yake kama kweli kayafanya..
nlikuwa nachangia tu
 
Mi sijaelewa I'D mbili zimeleta story inayofanana neno kwa neno. Ni mtu mmoja au ni source moja?

Hawa vijana wa Lumumba Ni janga la kitaifa, wana ID kumi kumi kwa ajili ya kujikomba kwa mabosi zao. Ni hatari sana mwa taifa kuwa na vijana wa dizaini hii.
 
si wameambiwa walime maembe na kurina asali hawa, wakaahidi kulinda nchi kwa utii? au nchi inalindwa kwa staili ya ulinzi aliyompa .warioba
 
Kila kukicha vihoja na vitimbwi vinazidi kujitokeza kuelekea uchaguz mkuu wa urais 2015.bila hata chembe ya aibu.jana tareh 7/11/2014 katibu chipukizi na uhamasishaji UVCCM bwana PAUL MAKONDA alionekana Dodoma hoteli akikabana mashati na baadhi ya makatibu na wenyeviti wa vijana UVCCM wa mikoa akiwemo mwenyekit vijana wa Katavi bwana KELVIN MBONGO huku mwenyekiti wa vijana wa mkoa wa Dar es salam bwana MATURANGA akiwashangaa wanavyogombania pesa kiasi cha Tsh milion hamsin(50,000,000 /=) kilichotolewa na mh MIZENGO PINDA ili vijana wa ccm(uvccm) katika kinyang"anyiro chake cha kusaka URAIS 2015.na chanzo cha kuaminika.(raia mwema) wakiwemo vinana waliokosa mgao huo.MASWALI MAWILI YANIUMIZA KICHWA 1.Kweli thamani ya vijana wa ccm yaani UVCCM ni Tsh 50,000,000/=? 2.huyu ndie PINDA mtoto wa mkulima au bepari aliejificha kwenye shamba la Mkulima?
 
Upo kama ulitaka tumwangalie makonda katika hili lakini baadae umetupeleka zaidi kwenye mipesa ya Pinda lakini pia aina ya ubepari wa Pinda. Ungenyoosha tu katika moja tujue lengo lako
 
makonda hadi sasa hajachukua pesa yoyote ata ile anayopaswa kama nauli yake,,,uongo tupu toka post hii
 
Kila kukicha vihoja na vitimbwi vinazidi kujitokeza kuelekea uchaguz mkuu wa urais 2015.bila hata chembe ya aibu.jana tareh 7/11/2014 katibu chipukizi na uhamasishaji UVCCM bwana PAUL MAKONDA alionekana Dodoma hoteli akikabana mashati na baadhi ya makatibu na wenyeviti wa vijana UVCCM wa mikoa akiwemo mwenyekit vijana wa Katavi bwana KELVIN MBONGO huku mwenyekiti wa vijana wa mkoa wa Dar es salam bwana MATURANGA akiwashangaa wanavyogombania pesa kiasi cha Tsh milion hamsin(50,000,000 /=) kilichotolewa na mh MIZENGO PINDA ili vijana wa ccm(uvccm) katika kinyang"anyiro chake cha kusaka URAIS 2015.na chanzo cha kuaminika.(raia mwema) wakiwemo vinana waliokosa mgao huo.MASWALI MAWILI YANIUMIZA KICHWA 1.Kweli thamani ya vijana wa ccm yaani UVCCM ni Tsh 50,000,000/=? 2.huyu ndie PINDA mtoto wa mkulima au bepari aliejificha kwenye shamba la Mkulima?

Huyo dogo KAPEWA pesa awape makatibu wote milioni milioni na wajumbe wa baraza ..lazima panga litembee Sana na kwa wanaojuwa Mchongo wakipunjwa Ndio bakora zinatembea..
 
Makönda ni dalali wa kisiasa, hana jipya zaidi ya kutumika tu na mafisadi na makuwadi wao!
 
Back
Top Bottom