Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema Wizara imepatiwa kiasi cha Tsh. 2 Bilioni itakayowawezesha watengenezaji wa maudhui mbalimbali mitandaoni kuimarisha kazi zao na kuwaongezea kipato kupitia majukwaa ya kidijitali.
Amesema hayo Januari 29, 2026 jijini Dodoma na kubainisha kuwa, fedha hizo zimetolewa na Rais Samia, kwa lengo la kuyawezesha makundi yote ya watengeneza maudhui ikiwemo katika Sekta ya Utalii, Michezo, Habari, Jamii, Muziki, Filamu na sanaa nyinginezo.
Amebainisha kuwa, zoezi la uandikishaji wa walengwa linaanza rasmi Januari 30 hadi Februari 15, 2026, ambapo watengenezaji wa maudhui wanatakiwa kufika katika ofisi za Halmashauri za Wilaya, Manispaa za Miji na Majiji kupitia vitengo vya habari, ili kuchukua na kujaza fomu za maombi, zikiainisha taarifa binafsi pamoja na shughuli wanazozifanya.
Your browser is not able to display this video.
==
Tanzania Launches TZS 2 Billion Fund to Support Digital Content Creators
The Government of Tanzania has announced a TZS 2 billion (approximately USD 780,000) fund to support digital content creators across the country.
Speaking on January 29, 2026, in Dodoma, the Minister for Information, Culture, Arts and Sports, Hon. Paul Makonda, said the initiative aims to strengthen the creative economy by enabling content creators to improve the quality of their work and generate sustainable income through digital platforms.
The fund, provided by President of the United Republic of Tanzania, Her Excellency Dr. Samia Suluhu Hassan, will benefit creators in sectors including tourism, sports, media, social development, music, film, and other creative arts.
Registration for eligible applicants will run from January 30 to February 15, 2026.
Nakumbuka baada ya MO29, nilikuwa sehemu naongea na washkaji fulani, wakawa wanasifia serikali kwa bando za bure walizotoa na nakumbuka walikuwa wanasema sijui na TANESCO nao walitoa units za bure kufidia mitandao kufungwa kwa siku zile za uchaguzi.
Imagine watu wanasahau madhila yote yaliyotokea wanafurahia bando na units za umeme za bure.
Hiyo bilioni 2 kwa mazingira ya Tanzania inaenda kununua ukimya wa watu wengi sana.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema Wizara imepatiwa kiasi cha Tsh. 2 Bilioni itakayowawezesha watengenezaji wa maudhui mbalimbali mitandaoni kuimarisha kazi zao na kuwaongezea kipato kupitia majukwaa ya kidijitali.
Amesema hayo Januari 29, 2026 jijini Dodoma na kubainisha kuwa, fedha hizo zimetolewa na Rais Samia, kwa lengo la kuyawezesha makundi yote ya watengeneza maudhui ikiwemo katika Sekta ya Utalii, Michezo, Habari, Jamii, Muziki, Filamu na sanaa nyinginezo.
Amebainisha kuwa, zoezi la uandikishaji wa walengwa linaanza rasmi Januari 30 hadi Februari 15, 2026, ambapo watengenezaji wa maudhui wanatakiwa kufika katika ofisi za Halmashauri za Wilaya, Manispaa za Miji na Majiji kupitia vitengo vya habari, ili kuchukua na kujaza fomu za maombi, zikiainisha taarifa binafsi pamoja na shughuli wanazozifanya.
Tanzania Launches TZS 2 Billion Fund to Support Digital Content Creators
The Government of Tanzania has announced a TZS 2 billion (approximately USD 780,000) fund to support digital content creators across the country.
Speaking on January 29, 2026, in Dodoma, the Minister for Information, Culture, Arts and Sports, Hon. Paul Makonda, said the initiative aims to strengthen the creative economy by enabling content creators to improve the quality of their work and generate sustainable income through digital platforms.
The fund, provided by President of the United Republic of Tanzania, Her Excellency Dr. Samia Suluhu Hassan, will benefit creators in sectors including tourism, sports, media, social development, music, film, and other creative arts.
Registration for eligible applicants will run from January 30 to February 15, 2026.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema Wizara imepatiwa kiasi cha Tsh. 2 Bilioni itakayowawezesha watengenezaji wa maudhui mbalimbali mitandaoni kuimarisha kazi zao na kuwaongezea kipato kupitia majukwaa ya kidijitali.
Amesema hayo Januari 29, 2026 jijini Dodoma na kubainisha kuwa, fedha hizo zimetolewa na Rais Samia, kwa lengo la kuyawezesha makundi yote ya watengeneza maudhui ikiwemo katika Sekta ya Utalii, Michezo, Habari, Jamii, Muziki, Filamu na sanaa nyinginezo.
Amebainisha kuwa, zoezi la uandikishaji wa walengwa linaanza rasmi Januari 30 hadi Februari 15, 2026, ambapo watengenezaji wa maudhui wanatakiwa kufika katika ofisi za Halmashauri za Wilaya, Manispaa za Miji na Majiji kupitia vitengo vya habari, ili kuchukua na kujaza fomu za maombi, zikiainisha taarifa binafsi pamoja na shughuli wanazozifanya.
Tanzania Launches TZS 2 Billion Fund to Support Digital Content Creators
The Government of Tanzania has announced a TZS 2 billion (approximately USD 780,000) fund to support digital content creators across the country.
Speaking on January 29, 2026, in Dodoma, the Minister for Information, Culture, Arts and Sports, Hon. Paul Makonda, said the initiative aims to strengthen the creative economy by enabling content creators to improve the quality of their work and generate sustainable income through digital platforms.
The fund, provided by President of the United Republic of Tanzania, Her Excellency Dr. Samia Suluhu Hassan, will benefit creators in sectors including tourism, sports, media, social development, music, film, and other creative arts.
Registration for eligible applicants will run from January 30 to February 15, 2026.
Wanataka kuwanyamazisha wakosoaji mitandaoni.
Wanajua wakikupa pesa yao hutakuwa na jeuri ya kurusha maudhui inayo wakosoa.
Hutarusu comments za kumkosoa mfadhili wako kwenye contents zako.
Wanafuata ule msemo "You should not bite the hand that feeds you".
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema Wizara imepatiwa kiasi cha Tsh. 2 Bilioni itakayowawezesha watengenezaji wa maudhui mbalimbali mitandaoni kuimarisha kazi zao na kuwaongezea kipato kupitia majukwaa ya kidijitali.
Amesema hayo Januari 29, 2026 jijini Dodoma na kubainisha kuwa, fedha hizo zimetolewa na Rais Samia, kwa lengo la kuyawezesha makundi yote ya watengeneza maudhui ikiwemo katika Sekta ya Utalii, Michezo, Habari, Jamii, Muziki, Filamu na sanaa nyinginezo.
Amebainisha kuwa, zoezi la uandikishaji wa walengwa linaanza rasmi Januari 30 hadi Februari 15, 2026, ambapo watengenezaji wa maudhui wanatakiwa kufika katika ofisi za Halmashauri za Wilaya, Manispaa za Miji na Majiji kupitia vitengo vya habari, ili kuchukua na kujaza fomu za maombi, zikiainisha taarifa binafsi pamoja na shughuli wanazozifanya.
Tanzania Launches TZS 2 Billion Fund to Support Digital Content Creators
The Government of Tanzania has announced a TZS 2 billion (approximately USD 780,000) fund to support digital content creators across the country.
Speaking on January 29, 2026, in Dodoma, the Minister for Information, Culture, Arts and Sports, Hon. Paul Makonda, said the initiative aims to strengthen the creative economy by enabling content creators to improve the quality of their work and generate sustainable income through digital platforms.
The fund, provided by President of the United Republic of Tanzania, Her Excellency Dr. Samia Suluhu Hassan, will benefit creators in sectors including tourism, sports, media, social development, music, film, and other creative arts.
Registration for eligible applicants will run from January 30 to February 15, 2026.