Makonda: Nyasi za Benjamini Mkapa kupandwa upya

Makonda: Nyasi za Benjamini Mkapa kupandwa upya

Mawele

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
352
Reaction score
1,035
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema nyasi za Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kupandwa upya.

Makonda amesema hayo leo wakati akizungumza na viongozi wa vyama na mashirikisho mbalimbali ya michezo nchini.

Amesema watapanda nyasi ili kufikia viwango vilivyowekwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF).

Waziri huyo amesema pia Serikali itabadilisha mkandarasi kwa ajili ya kufunga viti vipya katika uwanja huo.

Makonda pia amewataka viongozi wa michezo kufanya kazi kwa weledi ili kusapoti mchango mkubwa unaotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan.

1773418226505.png
Pia soma: Serikali kuufunga Uwanja wa Benjamin Mkapa kupisha ukarabati kuelekea AFCON 2027
 
Wale wa mwanzo waliopiga hela wawajibishwe kwenye viti
 
Mkandarasi wa viti? Si mwaka jana. Tu wameweka viti vipya? Dah!
 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema nyasi za Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kupandwa upya.

Makonda amesema hayo leo wakati akizungumza na viongozi wa vyama na mashirikisho mbalimbali ya michezo nchini.

Amesema watapanda nyasi ili kufikia viwango vilivyowekwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF).

Waziri huyo amesema pia Serikali itabadilisha mkandarasi kwa ajili ya kufunga viti vipya katika uwanja huo.

Makonda pia amewataka viongozi wa michezo kufanya kazi kwa weledi ili kusapoti mchango mkubwa unaotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Here comes another white elephant project
 
Kurukaruka Kwa Maharage Ndiyo Kuiva Kwake
 
Ule ukarabati mkubwa wa B31 umekwisha muda wake?
 
Kwahiyo zile bil 30 tulipigwa siyo? Endeleeni kutafuna hela zetu lakini iko siku mtaziharisha
 
Back
Top Bottom