kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,341
- 12,045
Muda utakiwa shahidi mbele ya safari, kwa vile wote ni vijana basi Mungu awajalie maisha marefu ili tuone mwisho wa battle hili, mkulu hatuwezi kumtegemea sana maana kama akikomaa sana basi 20 yrs kwenye game labda alivyo na miujiza Mungu anaweza kumfanya kama kinabii Eliya kwa kumpa miaka lukuki mbele, otherwise hakuwa na bahati ya kuanza "kutawala" mapema kama kina PKNape bado hajakubali kuangushwa na bashite..
Sent using Jamii Forums mobile app