Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Mgombea ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia CCM, Paul Makonda, akihutubia mkutano wa kampeni leo, Oktoba 12, 2025, katika Wilaya ya Bukombe, Mkoa wa Geita, amewaomba maafisa usafirishaji kumwombea kura Samia kwa kila abiria watakayembeba.
"Boda boda wote ambao mmeshuhudia mapenzi ya Dkt. Samia yakuwatambua kama 'Maafisa Usafirishaji' na kuwapunguzia adhabu (faini) kutoka Elfu 30 mpaka Elfu 10 mnapombeba abiria yoyote mwambie namwombea Kura Dkt. Samia"
"Boda boda wote ambao mmeshuhudia mapenzi ya Dkt. Samia yakuwatambua kama 'Maafisa Usafirishaji' na kuwapunguzia adhabu (faini) kutoka Elfu 30 mpaka Elfu 10 mnapombeba abiria yoyote mwambie namwombea Kura Dkt. Samia"