Wilaya ya kinondoni ilivyo na kwa utovu wa maadiri wa wanaoishi humo wengi wakiwa wezi, matapeli na wauza unga inaitaji mtu kama makonda ili kupambana nao. Ukimleta mtu anayelala kinondoni itamshinda asubuhi, kuna watu wanatakiwa kucharazwa njiti, kuruka kichura na hata kubebeshwa zege
Ktk gazeti nalo hilo unalihesabia? Hata kwa kufungia vitumbua halifai
View attachment 311440
Haya pata hilo! Wanasema kitu kizuri kula na ndugu yako!