Utamsifia sana lakini ukweli tumeuona kwenye gazeti la mawio leo
Utamsifia sana lakini ukweli tumeuona kwenye gazeti la mawio leo
Ina maana anamtumbua jipu mkulu wake aliyekuwa waziri idara hiyo? Kwanini hakuliona jipu hilllo kabla ya uchaguzi? Hizi nii fitna tu na huenda Ana MTU wake anampigia debe aletwe kwenye hiyo manispaa waje kupiga deal. Tangu aje hapo hakuna lolote alilofanikisha. Aende idara ya elimu akawadaie walimu pesa zao za likizo za tangu 2013.
Alimfuta viatu Riz1. Akapewa ukuu wa wilaya.
Ina maana anamtumbua jipu mkulu wake aliyekuwa waziri idara hiyo? Kwanini hakuliona jipu hilllo kabla ya uchaguzi? Hizi nii fitna tu na huenda Ana MTU wake anampigia debe aletwe kwenye hiyo manispaa waje kupiga deal. Tangu aje hapo hakuna lolote alilofanikisha. Aende idara ya elimu akawadaie walimu pesa zao za likizo za tangu 2013.
Makonda hawezi kuondoa hali hiyo mkuuWilaya ya kinondoni ilivyo na kwa utovu wa maadiri wa wanaoishi humo wengi wakiwa wezi, matapeli na wauza unga inaitaji mtu kama makonda ili kupambana nao. Ukimleta mtu anayelala kinondoni itamshinda asubuhi, kuna watu wanatakiwa kucharazwa njiti, kuruka kichura na hata kubebeshwa zege
Ktk gazeti nalo hilo unalihesabia? Hata kwa kufungia vitumbua halifaiUtamsifia sana lakini ukweli tumeuona kwenye gazeti la mawio leo
je angemchambisha?
Acheni watu wafanye kazi zao binafsi namshukuru sana mkuu huyu wa wilaya walau analeta heshima ya ukuu wa wilaya tofauti na zamani ambapo kilionekana kama cheo cha kisiasa tu lakini kumbe viongozi tunao na sasa wanaonesha njia kwamba inawezekana tukiamua
heko makonda
heko mkuu wa wilaya
hapa kazi tu