mwanga mweusi JF-Expert Member Dec 21, 2020 256 409 Feb 8, 2024 #22 Makonda simpendi ila namkubali sema tu hana cheo cha kutumbua mojakwa moja sasa hivi huduma za serkal ndi mbovu hasa upande wa ujenzi wizi na rushwa Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Makonda simpendi ila namkubali sema tu hana cheo cha kutumbua mojakwa moja sasa hivi huduma za serkal ndi mbovu hasa upande wa ujenzi wizi na rushwa Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
CHIEF PRIEST JF-Expert Member Dec 13, 2021 4,771 8,021 Feb 8, 2024 #23 Lucas mwashambwa said: Hata mimi sijamuelewa analengo tuelewe nini juu ya andiko lake. Maana sijamuelewa vizuri. Click to expand... Kaguswa basha wako kigololi kimekushuka
Lucas mwashambwa said: Hata mimi sijamuelewa analengo tuelewe nini juu ya andiko lake. Maana sijamuelewa vizuri. Click to expand... Kaguswa basha wako kigololi kimekushuka
MamaSamia2025 JF-Expert Member Mar 29, 2012 10,228 22,736 Feb 8, 2024 #24 Poppy Hatonn said: Sass nimsifie mtu amejenga barabara,kwani mimi ninayo gari mpaka nimsifie mtu aliyejenga barabara? Click to expand... Nilipoanza kusoma nilidhani ninasoma uzi wa mtu mwenye akili timamu kumbe ushuzi mtupu..... barabara ikiwa mbovu wagonjwa wanaweza kuwahishwa hospitalini?
Poppy Hatonn said: Sass nimsifie mtu amejenga barabara,kwani mimi ninayo gari mpaka nimsifie mtu aliyejenga barabara? Click to expand... Nilipoanza kusoma nilidhani ninasoma uzi wa mtu mwenye akili timamu kumbe ushuzi mtupu..... barabara ikiwa mbovu wagonjwa wanaweza kuwahishwa hospitalini?
Meneja Wa Makampuni JF-Expert Member Jul 7, 2020 6,462 8,409 Feb 8, 2024 #25 Sasa kwanini unalia boss, nyamaza futa machozi endelea na mapigano. Makonda amekuja kusafisha kabisa masalia yote
Sasa kwanini unalia boss, nyamaza futa machozi endelea na mapigano. Makonda amekuja kusafisha kabisa masalia yote
K Kb Ulayaulaya JF-Expert Member Jan 5, 2023 489 697 Feb 8, 2024 #26 Mimi Bado nasoma hii thread labda ntaielewa baadae yamkini