Makonda analeta mashaka

Makonda simpendi ila namkubali sema tu hana cheo cha kutumbua mojakwa moja sasa hivi huduma za serkal ndi mbovu hasa upande wa ujenzi wizi na rushwa

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Sass nimsifie mtu amejenga barabara,kwani mimi ninayo gari mpaka nimsifie mtu aliyejenga barabara?
Nilipoanza kusoma nilidhani ninasoma uzi wa mtu mwenye akili timamu kumbe ushuzi mtupu..... barabara ikiwa mbovu wagonjwa wanaweza kuwahishwa hospitalini?
 
Sasa kwanini unalia boss, nyamaza futa machozi endelea na mapigano. Makonda amekuja kusafisha kabisa masalia yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…