NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,063
- 4,074
Waziri wa mambo ya ndani akamilishe vizuri kazi yake ya madawa ya kulevya na ujangili mapungufu yake mengine tumuachie yeye ni binadamu pia tuangalia uzuri wake
Jamaaa linaakilii kinomaa ya utendaji. Wewe mwana JF unadhani jamaaa anaweza kuwa Waziri wa sector ipi!???! Kati hizi, Fedha, Nishati na Madini au Ujenzi!!!
Anafaa kuwa mtendaji wa kata ili kupunguza madhara ya utekaji kwa wananchi. Alimteka Roma mkatoliki, Clouds na wengine wengiJamaaa linaakilii kinomaa ya utendaji. Wewe mwana JF unadhani jamaaa anaweza kuwa Waziri wa sector ipi!???! Kati hizi, Fedha, Nishati na Madini au Ujenzi!!!
Waziri wa wanawake,Jinsia na watoto.Jamaaa linaakilii kinomaa ya utendaji. Wewe mwana JF unadhani jamaaa anaweza kuwa Waziri wa sector ipi!???! Kati hizi, Fedha, Nishati na Madini au Ujenzi!!!
waziri kifo kwenye serikali ya shetan.Jamaaa linaakilii kinomaa ya utendaji. Wewe mwana JF unadhani jamaaa anaweza kuwa Waziri wa sector ipi!???! Kati hizi, Fedha, Nishati na Madini au Ujenzi!!!
tawa ruge wengi.Uongo mbaya anafaa kuwa waziri wa ulinzi,mambo ya ndani,au michezo na utamaduni
WIZARA YA JANUARI MAKAMBAJamaaa linaakilii kinomaa ya utendaji. Wewe mwana JF unadhani jamaaa anaweza kuwa Waziri wa sector ipi!???! Kati hizi, Fedha, Nishati na Madini au Ujenzi!!!
NA ULIVYO KILAZA SASA......Jamaaa linaakilii kinomaa ya utendaji. Wewe mwana JF unadhani jamaaa anaweza kuwa Waziri wa sector ipi!???! Kati hizi, Fedha, Nishati na Madini au Ujenzi!!!