Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,498
Mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini, Paul Makonda amefafanua namna ahadi yake ya kumleta Arnold Schwarzenegger jijini Arusha itakavyotimia na Arusha kunufaika.
Soma: Makonda: Nikishinda Ubunge ntamleta Schwarzenegger mwaka mpya Arusha
Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni za mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi( CCM) Dk Samia Suluhu Hassan hapa Karatu mkoani Arusha, Makonda amesema mpango huo upo kimkakati ukilenga kukuza zaidi utalii.
Soma: Makonda: Nikishinda Ubunge ntamleta Schwarzenegger mwaka mpya Arusha
Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni za mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi( CCM) Dk Samia Suluhu Hassan hapa Karatu mkoani Arusha, Makonda amesema mpango huo upo kimkakati ukilenga kukuza zaidi utalii.