Teh teh tehEbwana asante sana kwa kuniafurahisha katika siku ya leo yenye mvua hapa Dar es Salaam!! Maana nikijaribu kumfikiria askari wa miavuli akuwa anaruka toka angani (parachuting) akiwa kanywa gongo...KIBOKO!!!!!
Sasa hawa wa kwetu hii ration wanayopata ya DONA KWA KAUZU wataweza kweli kutwangana kungfu na AL SHABAB waliokula mirungi na handasi iko juu???
Sjajua ujuzi wako kimapigano but i advice u..., usijaribu kupigana na commando hata kama ni mzee kama mzee balati..., wale ni exceptional.., hv, unajua limit ya entry age ya commando? Na kwnn unafkiri wamefanya hvo??Makomandoo wetu bado sana! Jana niliwaona wanavyotumia visu nikawaonea huruma sana, wanavyo expose baahi ya sehemu hatari za miili yao. Pili speed yao ya ku react hairidhishi hata kidogo.
Wakipambana na mtu kama mimi ndani ya sekunde kadhaa nakuwa nimemlambisha mtu sakafu!
Washukuru Mungu raia wa nchi yetu ni watiifu na bado wanaogopa jezi za mabakamabaka wanazovaa, na sio utaalamu alionao mwanajeshi au askari.
Sjajua ujuzi wako kimapigano but i advice u..., usijaribu kupigana na commando hata kama ni mzee kama mzee balati..., wale ni exceptional.., hv, unajua limit ya entry age ya commando? Na kwnn unafkiri wamefanya hvo??
Mjomba wapo fiti ile mbayaaaa.kuna siku basi ilitekwa na majambazi.Kuna soja 1 akamcheki jambazi jinsi alivyoshika silaha kizembe........akamwambia aliye jirani nae(wakiwa juu ya kelia ya basi ambapo ulikuwa unapanda baada ya kusachiwa.)Ukiona nimemrukia basi ushuke haraka ili tumbane.Kweli jamaa akajitoa mhanga.Akamrukia jambazi mwenye silaha,jamaa akashuka na abiria wote wakashiriki kuliua jambaz palepale.SOJA akabeba umaarufu
HIi ilitokea URAMBO-TBR
Ila kaka hapa tunaongelea akikutana na wataalamu wenzake wa mfano Cuba.
Mjomba wapo fiti ile mbayaaaa.kuna siku basi ilitekwa na majambazi.Kuna soja 1 akamcheki jambazi jinsi alivyoshika silaha kizembe........akamwambia aliye jirani nae(wakiwa juu ya kelia ya basi ambapo ulikuwa unapanda baada ya kusachiwa.)Ukiona nimemrukia basi ushuke haraka ili tumbane.Kweli jamaa akajitoa mhanga.Akamrukia jambazi mwenye silaha,jamaa akashuka na abiria wote wakashiriki kuliua jambaz palepale.SOJA akabeba umaarufu
HIi ilitokea URAMBO-TBR
bado mbishi..., ila nimjuze tu ndio wakufunzi wa UPDF na jeshi la congo...., kama yy hawaamini, nchi jirani zinawatumiaKaka bana!! yaani pamoja na ushahidi wote huu uliopewa bado inaonekana huwaamini kabisa makomando wetu!! mi naona wewe unamwamini James Bond tu, 007. Au Komando Machozi!
I, Bujibuji and Ndyoko we are the only commandos in JF.
Mkitaka kujua chochote kuhusu ukomandoo, mtu PM
Ila kaka hapa tunaongelea akikutana na wataalamu wenzake wa mfano Cuba.