Makohozi kutotoka kwenye koo

Top gun maverick

JF-Expert Member
Dec 10, 2017
2,020
2,600
Habari wapendwa muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la kusikia Kama kitu kigumu kwenye koo na makohozi mazito ambayo hayatoki ambapo hata nikila chakula kinarudi nimetembea mahospitalini nimepewa madawa antibiotics bado sijapona mpaka now nko totally stressed siku inapita Bila kula naona kawaida msaada kwa Mwenye jaman.
 
Labda ni kansa ya shingo nenda ukapimwe usipewe tu antibiotics


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Probably unatatizo linaitwa Gastroesophageal reflux disease
Ni kawaida kuleta dalili kama unazozisikia.
Habari wapendwa muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la kusikia Kama kitu kigumu kwenye koo na makohozi mazito ambayo hayatoki ambapo hata nikila chakula kinarudi nimetembea mahospitalini nimepewa madawa antibiotics bado sijapona mpaka now nko totally stressed siku inapita Bila kula naona kawaida msaada kwa Mwenye jaman.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom