Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,020
- 2,600
Habari wapendwa muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la kusikia Kama kitu kigumu kwenye koo na makohozi mazito ambayo hayatoki ambapo hata nikila chakula kinarudi nimetembea mahospitalini nimepewa madawa antibiotics bado sijapona mpaka now nko totally stressed siku inapita Bila kula naona kawaida msaada kwa Mwenye jaman.