Makinikia: Nilisema..Na ninasema!

Makinikia: Nilisema..Na ninasema!

Huu ndio ushauri wa maana unaolisaidia Taifa
sio wale Vibendera na lichama lao la Vibendera kutwa kuomba mabaya tu kwa taifa!

Ndio maana ikaletwa sheria na Wazungu kupata kiwewe kikubwa kwenya majadiliano.

Tuzidi kumuunga mkono mh Rais wetu
huyu ana nia njema kwa Taifa
Ataungwa mkono na wapuuzi wenzio
 
Hebu justify kuachana na Trilion 425, ambayo ni bajeti ya nchi kwa miaka 14 bila msaada wa senti za wahisani!. Ningekuona una hoja ya msingi ungesema tuwapeleke ACACIA mahakamani kwa wizi wote wa madini walioufanya sababu ushahidi wa kisayansi tunao!!
Accasia hawajaiba , Bali watanzania ndo tumeibiana wenyewe kwa kuuza nchi kwa wazungu. Tungesema tumeibiwa kama Taifa tusingekuwa na taarifa yoyote ya uchimbaji Wa hizo rasilimali. Lakini Taifa linajua na taifa ndo limeizinisha uchimbaji , sasa unawezaje sema unaibiwa??
 
Hata ungeunganisha akili za ukoo wako wote hufikii nusu ya akili za Lissu.
Hahaha ni kweli mzee wa miga aka tutafungwa badala yake ni neema juu ya neema sio mchezo.

Yule ajikite kwenye case za kuku na uchochezi tu mambo mengine ameonesha ni namna gani alivyo na ombwe nono kichwani.
 
Serikali na wanaume wa Canada daaah ya kaisali mwachie kaisali mi nafunga na kusali
 
Hebu justify kuachana na Trilion 425, ambayo ni bajeti ya nchi kwa miaka 14 bila msaada wa senti za wahisani!. Ningekuona una hoja ya msingi ungesema tuwapeleke ACACIA mahakamani kwa wizi wote wa madini walioufanya sababu ushahidi wa kisayansi tunao!!
Walikuambia usaini mkataba we bado unawaita wezi wakati Baba yako juzi kawaita vidume
 
Back
Top Bottom